Nitajie mti wowote usio anzia na herufi "M"

M-si jina la mti ila ni herufi ambayo inaelezea kuwa huo mti unatoa zao gani. tunakula embe ambalo linatokana na mti tunaoita mwembe. kama ambavyo utasema nitajia kabila lolote lisiloanzia na heruf M. mfano sukuma ni kabila mtu mwenye hilo kabila anaitwa msukuma. nyakyusa ni kabila mwenye hilo kabila anaitwa mnyakyusa. hehe ni kabila mwenye kabila hilo anaitwa mhehe. hivyo M- ni prefix ambayo inaonesha sifa ya mtu au kitu hicho. jinga- mjinga, pumbavu - mpumbavu
erevu- mwerevu, akili-mwenyeakili, gonjwa- mgonjwa. ni adjective au prefix ambayo inakuja kutengeneza adjective- kivumishi. una jambo lingine? kama kuna sehemu nimekosea mtanirekebisha wataalam mimi nilisoma lugha miaka mingi iliyopita when education was education
Sikubaliani na wewe ingawa mimi si mtalaamu wa kiswahili, lakini kwa mimea bila kuweka "M", huwezi kupata nomino/jina ya mmea husika. Na ukiondoa "M", utapata jina la zao la huo mmea. Kwa hiyo ili kupata jina la mti husika, ni lazima "M" itangulie kuonyesha kuwa hilo ni jina la mmea, na si zao lake. Kwa mfano, Mkorosho, na Korosho.
 
M-si jina la mti ila ni herufi ambayo inaelezea kuwa huo mti unatoa zao gani. tunakula embe ambalo linatokana na mti tunaoita mwembe. kama ambavyo utasema nitajia kabila lolote lisiloanzia na heruf M. mfano sukuma ni kabila mtu mwenye hilo kabila anaitwa msukuma. nyakyusa ni kabila mwenye hilo kabila anaitwa mnyakyusa. hehe ni kabila mwenye kabila hilo anaitwa mhehe. hivyo M- ni prefix ambayo inaonesha sifa ya mtu au kitu hicho. jinga- mjinga, pumbavu - mpumbavu
erevu- mwerevu, akili-mwenyeakili, gonjwa- mgonjwa. ni adjective au prefix ambayo inakuja kutengeneza adjective- kivumishi. una jambo lingine? kama kuna sehemu nimekosea mtanirekebisha wataalam mimi nilisoma lugha miaka mingi iliyopita when education was education
So now education is........?
 
Waganga hawawezi kuwaacha nyie salama watakula wapii??na mganga ni mwerevu mno kaona huwezi kutaja mf.Mpera ukasema pera maana pera ni zao la mpera.hakika lazima uitoe hiyo laki kama fungu la kumi kwa shetaniiii
 
M-si jina la mti ila ni herufi ambayo inaelezea kuwa huo mti unatoa zao gani. tunakula embe ambalo linatokana na mti tunaoita mwembe. kama ambavyo utasema nitajia kabila lolote lisiloanzia na heruf M. mfano sukuma ni kabila mtu mwenye hilo kabila anaitwa msukuma. nyakyusa ni kabila mwenye hilo kabila anaitwa mnyakyusa. hehe ni kabila mwenye kabila hilo anaitwa mhehe. hivyo M- ni prefix ambayo inaonesha sifa ya mtu au kitu hicho. jinga- mjinga, pumbavu - mpumbavu
erevu- mwerevu, akili-mwenyeakili, gonjwa- mgonjwa. ni adjective au prefix ambayo inakuja kutengeneza adjective- kivumishi. una jambo lingine? kama kuna sehemu nimekosea mtanirekebisha wataalam mimi nilisoma lugha miaka mingi iliyopita when education was education
Gudume uko vizuri..!
 
M-si jina la mti ila ni herufi ambayo inaelezea kuwa huo mti unatoa zao gani. tunakula embe ambalo linatokana na mti tunaoita mwembe. kama ambavyo utasema nitajia kabila lolote lisiloanzia na heruf M. mfano sukuma ni kabila mtu mwenye hilo kabila anaitwa msukuma. nyakyusa ni kabila mwenye hilo kabila anaitwa mnyakyusa. hehe ni kabila mwenye kabila hilo anaitwa mhehe. hivyo M- ni prefix ambayo inaonesha sifa ya mtu au kitu hicho. jinga- mjinga, pumbavu - mpumbavu
erevu- mwerevu, akili-mwenyeakili, gonjwa- mgonjwa. ni adjective au prefix ambayo inakuja kutengeneza adjective- kivumishi. una jambo lingine? kama kuna sehemu nimekosea mtanirekebisha wataalam mimi nilisoma lugha miaka mingi iliyopita when education was education

Zao la buni linatokana na mti gani mkuu????

Sijaongelea kahawa nimesema buni. Hahahaaa
 
Ibera, Ipapai, Ifenesi, Ipodo, Ichungwa, Inanasi, Ng'inda, mbona kikwetu yapo kibao na ww mtajie kikwenu mana kiswahili kueka m- mwanzo ni kitangulizi tu .
 
Altara

Kababu

Hhangumo

Ulula

Albizia

Burkea

Nyamate

Croton

Poyi

Kafinulambasa

Ebony

Utupa

Ngovigovi

Hagenia

Iroko

Loliondo

Afromosia

Tamarind

Viru


Timbui timbui
Mkuu hata mimi kwa lugha botany, ningetaja mingi kweli...
Kwa Kiswahili labda hiyo loliondo tree
Mengine yatakuwa kilugha bana
don’t cheat
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom