Sikubaliani na wewe ingawa mimi si mtalaamu wa kiswahili, lakini kwa mimea bila kuweka "M", huwezi kupata nomino/jina ya mmea husika. Na ukiondoa "M", utapata jina la zao la huo mmea. Kwa hiyo ili kupata jina la mti husika, ni lazima "M" itangulie kuonyesha kuwa hilo ni jina la mmea, na si zao lake. Kwa mfano, Mkorosho, na Korosho.M-si jina la mti ila ni herufi ambayo inaelezea kuwa huo mti unatoa zao gani. tunakula embe ambalo linatokana na mti tunaoita mwembe. kama ambavyo utasema nitajia kabila lolote lisiloanzia na heruf M. mfano sukuma ni kabila mtu mwenye hilo kabila anaitwa msukuma. nyakyusa ni kabila mwenye hilo kabila anaitwa mnyakyusa. hehe ni kabila mwenye kabila hilo anaitwa mhehe. hivyo M- ni prefix ambayo inaonesha sifa ya mtu au kitu hicho. jinga- mjinga, pumbavu - mpumbavu
erevu- mwerevu, akili-mwenyeakili, gonjwa- mgonjwa. ni adjective au prefix ambayo inakuja kutengeneza adjective- kivumishi. una jambo lingine? kama kuna sehemu nimekosea mtanirekebisha wataalam mimi nilisoma lugha miaka mingi iliyopita when education was education
So now education is........?M-si jina la mti ila ni herufi ambayo inaelezea kuwa huo mti unatoa zao gani. tunakula embe ambalo linatokana na mti tunaoita mwembe. kama ambavyo utasema nitajia kabila lolote lisiloanzia na heruf M. mfano sukuma ni kabila mtu mwenye hilo kabila anaitwa msukuma. nyakyusa ni kabila mwenye hilo kabila anaitwa mnyakyusa. hehe ni kabila mwenye kabila hilo anaitwa mhehe. hivyo M- ni prefix ambayo inaonesha sifa ya mtu au kitu hicho. jinga- mjinga, pumbavu - mpumbavu
erevu- mwerevu, akili-mwenyeakili, gonjwa- mgonjwa. ni adjective au prefix ambayo inakuja kutengeneza adjective- kivumishi. una jambo lingine? kama kuna sehemu nimekosea mtanirekebisha wataalam mimi nilisoma lugha miaka mingi iliyopita when education was education
Gudume uko vizuri..!M-si jina la mti ila ni herufi ambayo inaelezea kuwa huo mti unatoa zao gani. tunakula embe ambalo linatokana na mti tunaoita mwembe. kama ambavyo utasema nitajia kabila lolote lisiloanzia na heruf M. mfano sukuma ni kabila mtu mwenye hilo kabila anaitwa msukuma. nyakyusa ni kabila mwenye hilo kabila anaitwa mnyakyusa. hehe ni kabila mwenye kabila hilo anaitwa mhehe. hivyo M- ni prefix ambayo inaonesha sifa ya mtu au kitu hicho. jinga- mjinga, pumbavu - mpumbavu
erevu- mwerevu, akili-mwenyeakili, gonjwa- mgonjwa. ni adjective au prefix ambayo inakuja kutengeneza adjective- kivumishi. una jambo lingine? kama kuna sehemu nimekosea mtanirekebisha wataalam mimi nilisoma lugha miaka mingi iliyopita when education was education
M-si jina la mti ila ni herufi ambayo inaelezea kuwa huo mti unatoa zao gani. tunakula embe ambalo linatokana na mti tunaoita mwembe. kama ambavyo utasema nitajia kabila lolote lisiloanzia na heruf M. mfano sukuma ni kabila mtu mwenye hilo kabila anaitwa msukuma. nyakyusa ni kabila mwenye hilo kabila anaitwa mnyakyusa. hehe ni kabila mwenye kabila hilo anaitwa mhehe. hivyo M- ni prefix ambayo inaonesha sifa ya mtu au kitu hicho. jinga- mjinga, pumbavu - mpumbavu
erevu- mwerevu, akili-mwenyeakili, gonjwa- mgonjwa. ni adjective au prefix ambayo inakuja kutengeneza adjective- kivumishi. una jambo lingine? kama kuna sehemu nimekosea mtanirekebisha wataalam mimi nilisoma lugha miaka mingi iliyopita when education was education
Sio vizuri kujibu bila kuwa na ushahidi ngoja niingie chimbo kwanza
AltaraUkiweza nakuandalia zawadi
nyanyaKwa kiswahili
Mkuu hata mimi kwa lugha botany, ningetaja mingi kweli...Altara
Kababu
Hhangumo
Ulula
Albizia
Burkea
Nyamate
Croton
Poyi
Kafinulambasa
Ebony
Utupa
Ngovigovi
Hagenia
Iroko
Loliondo
Afromosia
Tamarind
Viru
Timbui timbui
Ibera, Ipapai, Ifenesi, Ipodo, Ichungwa, Inanasi, Ng'inda, mbona kikwetu yapo kibao na ww mtajie kikwenu mana kiswahili kueka m- mwanzo ni kitangulizi tu .
Gudume uko vizuri..!
Iki sio kichaga kweli