Nitajie mahali yako

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
37,156
Reaction score
55,653
Nataka nije nitoe mahari kwenu, nitajie mahari yako

Najua kila mmoja anamuhitaji mwenzake, kwa kifupi tunahitajiana.

Haya mambo ya kumfanya mwingine agharamike sana, ili aonekane ndio muhitaji sana katika mahusiano, hayana maana; kwa kifupi tunahitajiana.

Nimekupenda wewe pisi kali unaetembea kwa mwendo wa madaha, nitajie mahari yako.

Iwe mbuzi, kondoo, ng'ombe nitatoa; nitajie mahari yako.​
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…