Nitajie jina la lotion maalumu kwa kuondoa nywele kwapani bila kunyoa

Kuna siku nilitumia moja( siikumbuki jina) kunyolea nywele za southern hemisphere.. aisee... ilibaki kama miezi sita hivi nywele haikuota hata moja.. baadae ndo zikaanza tena kuota, niliogopa hadi nikaanza kusema i need my nanihii back... sitaki hata kuzisikia tena
Mkuu haya madawa sio mazuri basi tu ubishi mwingi
 
Bla bla nyingi bei amweki taja bidhaa na bei yake tu thaminishe
 
Back
Top Bottom