Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,127
- 2,944
Mi nataka ya ndevu na mavuzi
Mkuu haya madawa sio mazuri basi tu ubishi mwingiKuna siku nilitumia moja( siikumbuki jina) kunyolea nywele za southern hemisphere.. aisee... ilibaki kama miezi sita hivi nywele haikuota hata moja.. baadae ndo zikaanza tena kuota, niliogopa hadi nikaanza kusema i need my nanihii back... sitaki hata kuzisikia tena
Majivu
Ky
Durex spray
Kweli kabisa mara kunyolea magic me hata sielewi kwakweliWacha niendelee na jilet kuepuka kansa ya kwapa, uzungu mwingi maradhi mengi.
Utaitesa bure bora ya wembewax inauma sana papuchi inateguka
Kweli kabisa mara kunyolea magic me hata sielewi kwakweli
viwembe vinaacha vipele kitu cha veet kinakuwa flat laiiniiiViwembe vinatosha mkuu,kwann upate gharama na stress maishani?
Hata ndevu inafaa hii veet??kitucha wembe tuu mkuu unanyoa fureeshiii
veet
Wewe jamaa unavichekesho sana kila nikiona comments zako nacheka tu!Sikumbuki mara ya mwisho kunyoa nywele hizo ni lini "Karibia nitaota mabawa kwapani"
sidhani mkuuHata ndevu inafaa hii veet??
Ukimaliza kunyoa kwa kiwembe pakaa mafuta ngozi italainika tuuviwembe vinaacha vipele kitu cha veet kinakuwa flat laiiniii
sitaki bibi yangu alinyoa na wembe na mimi ninyoe na wembe? mimi ni wa mabadiliko kakaUkimaliza kunyoa kwa kiwembe pakaa mafuta ngozi italainika tuu
Hii ndio jamii forum nadhani ina kila aina ya watu, huwa napenda kuwa na furaha muda wote sioni haya kama nawe utapata furaha niliyonayo.Wewe jamaa unavichekesho sana kila nikiona comments zako nacheka tu!
veet elf 8 kariakoo elf 12 supermarketBla bla nyingi bei amweki taja bidhaa na bei yake tu thaminishe