samahani, unaweza kuniambia u,enunulia wapi na bei yake kama ni dsm, maana kupata hizi cream kazi kweliTry this ni nzur na haifany eneo kuwa jeusi utabak na rangi yako tena smoothView attachment 494663
Dar cjui inauzwaje ila mm huku niliko nimenunua kwa 5600/- kwa pesa ya tz kwa huku ni sawa na 2 USDsamahani, unaweza kuniambia u,enunulia wapi na bei yake kama ni dsm, maana kupata hizi cream kazi kweli
Hahahahahaaaa you made my dayKuna siku nilitumia moja( siikumbuki jina) kunyolea nywele za southern hemisphere.. aisee... ilibaki kama miezi sita hivi nywele haikuota hata moja.. baadae ndo zikaanza tena kuota, niliogopa hadi nikaanza kusema i need my nanihii back... sitaki hata kuzisikia tena
hii veet ni lotion au cream?sidhani mkuu