sikujua kama kujiunga fremasoni ni ugonjwa.
Eti anatibu kujiunga na free massons! Mmmmh!
Katika kuzunguka kwangu kute sijawahi kuona Dr/Mganga wa kienyeji anaitwa Massawe,Tarimo au Mushi ukiwataka hao uende Muhimbili na hospitali kubwa tuu,Inamaana hawapo au hawapendi kutumia majina yao ya ukoo?
freemason...ni waashi huru.umenisoma
tena ushindwe hizo dawa za kisukari mnatutapeli kabisaaa
hivi hamna anaetaka dawa ya mapenzi au kuongeza nguvu za kiume huku au ndo wote hamna matatizo kwenye mapenzi[je wadada,wote nikwamba hamna migogoro kwenye ndoa zenu,ramli inanionyesha wengi hawana furaha kwenye ndoa nioneni jamani,ndani ya siku 4 kama mmeo ameondoka jumbani anarudi mwenyewe]na nyie wababa hamna matatizo ya nguvu za kiume mnataka kusema mko fiti fitiki,haya bana
Pole kwa kutapeliwa.