Nitafurahi nikisikia bi tukinao kagoma kula ugali. ( code o5 )

Nitafurahi nikisikia bi tukinao kagoma kula ugali. ( code o5 )

05CUBA

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2025
Posts
1,106
Reaction score
1,643
Salaam??
Code o5 ,
Jamani chakula cha hapa duniani ni kitamu sana. .....
Mda flan walimgomea injinia asile ugali wakampa chakula kingine.
Yani japo yawezekana waliona chakula kingine ndo kitam kuliko ugali ila mimi naona injinia walimkatili kwakumzuia kula ugali...
Sasa leo natamani sana by anymeans bitukinao nae agome kula ugali au wamkataze pia...

Tukiwa kwenye kampeni kuna Lori pia limewamwaga jamaa wa mbogamboga Sema hakuna alogoma kula ugali. (Mimi nilitamani wote wangegoma.kulq ugali baada ya kuumia pale Maan sio salama kwa mgonjwa alopata ujali ya vile akaendelea kul ugali badala ya chakula kizuri )
 
Salaam??
Code o5 ,
Jamani chakula cha hapa duniani ni kitamu sana. .....
Mda flan walimgomea injinia asile ugali wakampa chakula kingine.
Yani japo yawezekana waliona chakula kingine ndo kitam kuliko ugali ila mimi naona injinia walimkatili kwakumzuia kula ugali...
Sasa leo natamani sana by anymeans bitukinao nae agome kula ugali au wamkataze pia...

Tukiwa kwenye kampeni kuna Lori pia limewamwaga jamaa wa mbogamboga Sema hakuna alogoma kula ugali. (Mimi nilitamani wote wangegoma.kulq ugali baada ya kuumia pale Maan sio salama kwa mgonjwa alopata ujali ya vile akaendelea kul ugali badala ya chakula kizuri )
Uta subiria sana.
 
Salaam??
Code o5 ,
Jamani chakula cha hapa duniani ni kitamu sana. .....
Mda flan walimgomea injinia asile ugali wakampa chakula kingine.
Yani japo yawezekana waliona chakula kingine ndo kitam kuliko ugali ila mimi naona injinia walimkatili kwakumzuia kula ugali...
Sasa leo natamani sana by anymeans bitukinao nae agome kula ugali au wamkataze pia...

Tukiwa kwenye kampeni kuna Lori pia limewamwaga jamaa wa mbogamboga Sema hakuna alogoma kula ugali. (Mimi nilitamani wote wangegoma.kulq ugali baada ya kuumia pale Maan sio salama kwa mgonjwa alopata ujali ya vile akaendelea kul ugali badala ya chakula kizuri )
Watanzania ndivyo tulivyo.

Hata injinia mwenyewe alitaka abakie hapo hadi atakaposhindwa kula ugali na si vinginevyo. Ila hakuna aliyethubutu hata kujifanya anajikuna…

Watu wakaanza maombi kama haya. Ila sidhani kama maombi yale ndo yaliyosababisha akagoma kula ugali.

Hata haya maombi yako sidhani…

Unless kuwepo na mkono wa mtu kama ilivyo kwa fununu kuhusu injinia kugomea ugali.
 
Watanzania ndivyo tulivyo.

Hata injinia mwenyewe alitaka abakie hapo hadi atakaposhindwa kula ugali na si vinginevyo. Ila hakuna aliyethubutu hata kujifanya anajikuna…

Watu wakaanza maombi kama haya. Ila sidhani kama maombi yale ndo yaliyosababisha akagoma kula ugali.

Hata haya maombi yako sidhani…

Unless kuwepo na mkono wa mtu kama ilivyo kwa fununu kuhusu injinia kugomea ugali.

Injinia alipogoma kula ugali wanachama wanokul ugali ndani ya nyumba walihuzunika sana .. sabab waliamini kuwa kutowekq kwake kunapunguza radha ya ugali wa nyumba yetu. (Alikuwa mlaji mzuri)

Sasa akigoma kula ugali bi tukinao naimani tutafanya sherehe sababu si mraji mzuri wa ugali.
Anatuchefua wengine na kutufanya tusishibe .
 
Back
Top Bottom