Nitaficha wapi uso wangu? Rais Kikwete ameniumbua

Nitaficha wapi uso wangu? Rais Kikwete ameniumbua

Tokyo40 na Rene Jr. embu kuja this wei...Kuna mmoja ni mzungu hapa na mwingine Mwafrika, ngoja nianze na Mzungu Tokyo40...habari yako, hii ni Afrika na hapa ni Tanzania,tulishapata uhuru zamani wakati mkitutawala iliitwa Tanganyika, jisikie huru!

Mkuu Horseshoe Arch. Umemsoma Mugabe alivyosema juzi? Amekubali kwa mdomo wake kuwa alifanya kosa kugawa ardhi kubwa kwa wakulima masikini na kusababisha uchumi kushuka. Mwueleze Rene Jr. pia. Ajipange upya.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Horseshoe Arch. Umemsoma Mugabe alivyosema juzi? Amekubali kwa mdomo wake kuwa alifanya kosa kugawa ardhi kubwa kwa wakulima masikini na kusababisha uchumi kushuka. Mwueleze Rene Jr. pia. Ajipange upya.

Watawala wengi wa kiafrika na hawakuwa na strategy walivyochukua nchi zao kutoka ama kwa wakoloni ama kutokana na transformation ya madaraka na kwa muktadha huu waliendeleza mfumo uliokuwa ukitumiwa na watawala wa kikoloni of whom wao walikuwa na malengo ya kufaidisha nchi zao!
 
Watawala wengi wa kiafrika na hawakuwa na strategy walivyochukua nchi zao kutoka ama kwa wakoloni ama kutokana na transformation ya madaraka na kwa muktadha huu waliendeleza mfumo uliokuwa ukitumiwa na watawala wa kikoloni of whom wao walikuwa na malengo ya kufaidisha nchi zao!

Tusipende kila kitu kumlaumu Mkoloni. Sema tu Mugabe alikosea kuwapa ardhi wakulima masikini. Jambo zuri la kufanya lakini kiuchumi ni deathwish. Angewaachia wazungu ardhi mpaka pale Wazawa wapo tayari kielimu na kifedha angefanya vizuri na leo uchumi wake ungekuwa juu zaidi kama mzalishaji.

Mbona Mkoloni kaacha kisiwa cha Singapore masikini kabisa kuliko Tanganyika, leo wako wapi? Ni kujipanga kielimu tu. Tuanze kuwa na utamaduni wa kuulaumu uongozi wetu mmbovu wa Kiafrika.
 
Tusipende kila kitu kumlaumu Mkoloni. Sema tu Mugabe alikosea kuwapa ardhi wakulima masikini. Jambo zuri la kufanya lakini kiuchumi ni deathwish. Angewaachia wazungu ardhi mpaka pale Wazawa wapo tayari kielimu na kifedha angefanya vizuri na leo uchumi wake ungekuwa juu zaidi kama mzalishaji.

Mbona Mkoloni kaacha kisiwa cha Singapore masikini kabisa kuliko Tanganyika, leo wako wapi? Ni kujipanga kielimu tu. Tuanze kuwa na utamaduni wa kuulaumu uongozi wetu mmbovu wa Kiafrika.

Mwalimu alizuia madini na gesi visiguswe enzi zake,lengo likiwa zuri,kwamba hakuwa na wazawa wabobezi katika masuala ya madini by that time na kwamba kumruhusu mgeni ashike sekta nyeti ya madini ilikuwa kumkaribisha wolf kwenye banda la kuku...kweli vijana walisomeshwa na mifano hai ni hawa kina Muhongo but look what they have done!

Kila mtawala ana namna yake ya utawala,mtawala huyu atakuwa hafai pale tu atakapogusa maslahi ya wakubwa ila kama wakubwa hawana maslahi na eneo la mtawala tajwa basi hata angeendesha taifa lake kwa namna ya ajabu hakuna ambaye angemsema!

Niseme tu wazi kwamba ardhi ya Zimbabwe ilikuwa ya warodesia na si ya wazungu wachache,kufail kwa Mugabe kwa kuwa aligawa ardhi kubwa kwa wazawa ni utelezi tu wa mipango kama Ujamaa wa Nyerere ulivyoshindikana kuwa implemented!
 
Wakati fulani tuseme na ukweli, wajerumani walitukuta hatuna hata nguo, tunauzwa sokoni kama mbuzi, je hilo jengo la ikulu kajenga nani kama sio wajerumani, reli ya kati kajenga nani kama sio wajerumani.ukweli mazuri ya wajerumani kwa miaka 35 waliyokaa hayawezi kulinganishwa na ya kwetu.

The Magogoni Government House was not built by the Germans. It was built by the order of Seyyid Majid the then Sultan of Zanzibar, people used to call it "Nyumba ya Bendera" because the flag staff raised by The Sultan at that time.The building was built in Arabic architecture and resamble the State House of Zanzibar and Kibweni Palace.
The front main huge door above it is writen in Arabic "Id-khulha be ssalaamin aaminin", meaning " Enter ye with peace and be secured" the same words written on the gate of Makkah Grand Mosque. The building was named "Daru ssalam" meaning "The House of Peace" and this is the root name of Dar es Salaam City (Dar was developed to be a city in 1865 on the Sultans order and he officially visited the city in 1866.
 
Mwalimu alizuia madini na gesi visiguswe enzi zake,lengo likiwa zuri,kwamba hakuwa na wazawa wabobezi katika masuala ya madini by that time na kwamba kumruhusu mgeni ashike sekta nyeti ya madini ilikuwa kumkaribisha wolf kwenye banda la kuku...kweli vijana walisomeshwa na mifano hai ni hawa kina Muhongo but look what they have done!

Kila mtawala ana namna yake ya utawala,mtawala huyu atakuwa hafai pale tu atakapogusa maslahi ya wakubwa ila kama wakubwa hawana maslahi na eneo la mtawala tajwa basi hata angeendesha taifa lake kwa namna ya ajabu hakuna ambaye angemsema!

Niseme tu wazi kwamba ardhi ya Zimbabwe ilikuwa ya warodesia na si ya wazungu wachache,kufail kwa Mugabe kwa kuwa aligawa ardhi kubwa kwa wazawa ni utelezi tu wa mipango kama Ujamaa wa Nyerere ulivyoshindikana kuwa implemented!

First thing first. Mimi siyo mmoja wa wale Watanzania wanaomwabudu Nyerere kama Mungu au kila kitu asemacho ndio cha kweli. Alituongoza kibabe (bila demokrasia) na kuiacha nchi hoi bin taaban baada za zaidi ya miaka 20. Nadhani utakumbuka chakula cha ration. Mimi siwezi kutafuna maneno, Ujamaa kwa maneno ni mzuri sana lakini kwa vitendo uliua nchi.

Hajataka kugusa madini kwa sababu ni kinyume cha siasa yake na serikali Yake haikuwa na uwezo wa kifedha kwa kuwa Ujamaa uliuteketeza uzalishaji. Mfano mdogo ni ule wa ration ya chakula. Hata sabuni Nyerere alipewa MSAADA na Urusi. Najua kwa kuwa nilipewa kuuza na Ugawaji. Nani zaidi ya bepari anaweza kufanya biashara ya uchimbaji wa madini? Gharama zake na elimu yake ilikuwa kubwa wakati huo na ni kubwa wakati huu kuliko uwezo wa Watanzania na Serikali. Kaa na kujua uzalishaji WOTE wa nchi ni dola bilioni 40 tu mpaka sasa, sawasawa na uzalishaji wa mwaka jana wa Kampuni ya Huawei ya China. Na Tanzania ya Kikwete pamoja na wizi, ni Tajiri kuliko Tanzania ya Nyerere alipomkabidhi Mwinyi. Huu ndio ukweli kiuchumi. Tuweke hisia mbali na hali ya kiukweli ya nchi mbali.

Kuhusu Zimbabwe, Mugabe alitaka cookie points za kisiasa. Wakulima karibuni wote wa Kizungu wamepewa ardhi kubwa nchi jirani kwa kuwa viongozi wanaoona mbele wanajua kuwa hawa wazungu wana ujuzi wa Miaka mingi ya kilimo cha Kisasa na wana uwezo wa kifedha. Zimbabwe karudisha ardhi kwa mzawa na kushusha uchumi wake huku Waafrika wenzake Msumbiji, Zambia, na Afrika Kusini wamewakaribisha kulima kwao. Nani kapata faida hapo? Waafrika tukiacha siasa na porojo na kufikiri kielimu, tungefika mbali. Lakini wapi! Mugabe anapigiwa makofi huku nchi yake inadidimia kiuchumi na yeye kuganda pale pale tangu 1980. Quite an example to leave behind for future leaders!!

Siamini hata chembe kuwa Ujamaa wa Nyerere ungeweza kuitajirisha Tanzania. Alichukua miaka zaidi ya 20 na kutuweka na njaa kali.

The leadership failed in both nations and we shouldn't sugarcoat it anymore. It's time to accept their failures and move forward. Your implementation failure as the reason behind Ujamaa downfall is past expiry date, it doesn't hold water. Any reasonable person will admit that we are much better off economically now than in 1980 unless they are die-hard Nyerere apologists who will always find a way to praise his dictatorial leadership.
 
Did he said that!!! Maana huwa sisikilizagi hotuba zake. Alisema kwa ki- english au kwa kiswahili au kijerumani? Nahisi kuna shida hapa. Kwamba anawapongeza wakoloni kwa kututawala na kutuletea maendeleo! Kwa hiyo ndo maana kila siku yuko angani anatutafutia hawa wakoloni warudi kututawala ili watuletee maendeleo zaidi? Kwamba akina Nyerere na wenzake walifanya mapema sana harakati za kutafuta uhuru ili tuweze kujitegemea wenyewe? Kwamba Wa-Tz hatuwezi bila kuwezeshwa na wakoloni?
Huku ni ku promote u mariooo, alitaka taifa zima liwe marioo nyerere was good to us, hakutaka watanzania tegemezi japo kuna walioachiwa madaraka wakarudisha tena utumwa, milango ikawa wazi kwa makaburu kuja kujichumia
 
Katika jambo ambalo limenishangaza ni hili la Watanzania kushangilia kuachiwa huru kwa wabakaji na walawiti, tena watu ambao walikuwa wanabaka na kulawiti vitoto vidogo, leo hii watu wanashangilia!!

Kabla ya kushangilia tumewafikiria wazazi na watoto waliofanyiwa vitendo hivyo vya kishenzi, sasa hivi wanajisikiaje? Ebu fikria angelikuwa mtoto wako mdogo wa miaka saba akafanyiwa vitendo hivyo halafu akaachiwa huru ungejisikiaje?

Mahakama zote zimewakuta na hatia halafu leo wanaachiwa huru watu wanashangilia, hivi kama kweli watu hawa walionewa kwanini mahakama zote ziliwatia hatiani?

Kwanini wao na sio wafungwa wengine waliohukumiwa kwa makosa mbalimbali kama yao.

Tuache kutafuta kiki kwenye masuala nyeti, kama rais angelikuwa na huruma angelisamehe wafungwa wote waliopo magerezani na sio mtu mmoja kwa ajili ya kutafuta umaarufu usio na maana.
Uliwahi kulaani "wasiojulikana" walitaka kuua ?
Uliwahi kufikiri familia ya mhanga wa "wasiojulikana" inajisikiaje?

Umejiuliza afya ya mhanga huyo kwa baadaye?

Wahanga wa ulawiti/ubakaji huenda walikuwa "wanafurahia kitendo" hicho, je huyo wa risasi?

Ningekuwa n.a. kumbu kumbu ya kukemea kwako kwa hali ya ukiukwaji wa HAKI ZA MSINGI zinazo kanyagwa n.a. mtukufu wao ningefikiria mara 2 .
First thing first. Mimi siyo mmoja wa wale Watanzania wanaomwabudu Nyerere kama Mungu au kila kitu asemacho ndio cha kweli. Alituongoza kibabe (bila demokrasia) na kuiacha nchi hoi bin taaban baada za zaidi ya miaka 20. Nadhani utakumbuka chakula cha ration. Mimi siwezi kutafuna maneno, Ujamaa kwa maneno ni mzuri sana lakini kwa vitendo uliua nchi.

Hajataka kugusa madini kwa sababu ni kinyume cha siasa yake na serikali Yake haikuwa na uwezo wa kifedha kwa kuwa Ujamaa uliuteketeza uzalishaji. Mfano mdogo ni ule wa ration ya chakula. Hata sabuni Nyerere alipewa MSAADA na Urusi. Najua kwa kuwa nilipewa kuuza na Ugawaji. Nani zaidi ya bepari anaweza kufanya biashara ya uchimbaji wa madini? Gharama zake na elimu yake ilikuwa kubwa wakati huo na ni kubwa wakati huu kuliko uwezo wa Watanzania na Serikali. Kaa na kujua uzalishaji WOTE wa nchi ni dola bilioni 40 tu mpaka sasa, sawasawa na uzalishaji wa mwaka jana wa Kampuni ya Huawei ya China. Na Tanzania ya Kikwete pamoja na wizi, ni Tajiri kuliko Tanzania ya Nyerere alipomkabidhi Mwinyi. Huu ndio ukweli kiuchumi. Tuweke hisia mbali na hali ya kiukweli ya nchi mbali.

Kuhusu Zimbabwe, Mugabe alitaka cookie points za kisiasa. Wakulima karibuni wote wa Kizungu wamepewa ardhi kubwa nchi jirani kwa kuwa viongozi wanaoona mbele wanajua kuwa hawa wazungu wana ujuzi wa Miaka mingi ya kilimo cha Kisasa na wana uwezo wa kifedha. Zimbabwe karudisha ardhi kwa mzawa na kushusha uchumi wake huku Waafrika wenzake Msumbiji, Zambia, na Afrika Kusini wamewakaribisha kulima kwao. Nani kapata faida hapo? Waafrika tukiacha siasa na porojo na kufikiri kielimu, tungefika mbali. Lakini wapi! Mugabe anapigiwa makofi huku nchi yake inadidimia kiuchumi na yeye kuganda pale pale tangu 1980. Quite an example to leave behind for future leaders!!

Siamini hata chembe kuwa Ujamaa wa Nyerere ungeweza kuitajirisha Tanzania. Alichukua miaka zaidi ya 20 na kutuweka na njaa kali.

The leadership failed in both nations and we shouldn't sugarcoat it anymore. It's time to accept their failures and move forward. Your implementation failure as the reason behind Ujamaa downfall is past expiry date, it doesn't hold water. Any reasonable person will admit that we are much better off economically now than in 1980 unless they are die-hard Nyerere apologists who will always find a way to praise his dictatorial leadership.
 
First thing first. Mimi siyo mmoja wa wale Watanzania wanaomwabudu Nyerere kama Mungu au kila kitu asemacho ndio cha kweli. Alituongoza kibabe (bila demokrasia) na kuiacha nchi hoi bin taaban baada za zaidi ya miaka 20. Nadhani utakumbuka chakula cha ration. Mimi siwezi kutafuna maneno, Ujamaa kwa maneno ni mzuri sana lakini kwa vitendo uliua nchi.

Hajataka kugusa madini kwa sababu ni kinyume cha siasa yake na serikali Yake haikuwa na uwezo wa kifedha kwa kuwa Ujamaa uliuteketeza uzalishaji. Mfano mdogo ni ule wa ration ya chakula. Hata sabuni Nyerere alipewa MSAADA na Urusi. Najua kwa kuwa nilipewa kuuza na Ugawaji. Nani zaidi ya bepari anaweza kufanya biashara ya uchimbaji wa madini? Gharama zake na elimu yake ilikuwa kubwa wakati huo na ni kubwa wakati huu kuliko uwezo wa Watanzania na Serikali. Kaa na kujua uzalishaji WOTE wa nchi ni dola bilioni 40 tu mpaka sasa, sawasawa na uzalishaji wa mwaka jana wa Kampuni ya Huawei ya China. Na Tanzania ya Kikwete pamoja na wizi, ni Tajiri kuliko Tanzania ya Nyerere alipomkabidhi Mwinyi. Huu ndio ukweli kiuchumi. Tuweke hisia mbali na hali ya kiukweli ya nchi mbali.

Kuhusu Zimbabwe, Mugabe alitaka cookie points za kisiasa. Wakulima karibuni wote wa Kizungu wamepewa ardhi kubwa nchi jirani kwa kuwa viongozi wanaoona mbele wanajua kuwa hawa wazungu wana ujuzi wa Miaka mingi ya kilimo cha Kisasa na wana uwezo wa kifedha. Zimbabwe karudisha ardhi kwa mzawa na kushusha uchumi wake huku Waafrika wenzake Msumbiji, Zambia, na Afrika Kusini wamewakaribisha kulima kwao. Nani kapata faida hapo? Waafrika tukiacha siasa na porojo na kufikiri kielimu, tungefika mbali. Lakini wapi! Mugabe anapigiwa makofi huku nchi yake inadidimia kiuchumi na yeye kuganda pale pale tangu 1980. Quite an example to leave behind for future leaders!!

Siamini hata chembe kuwa Ujamaa wa Nyerere ungeweza kuitajirisha Tanzania. Alichukua miaka zaidi ya 20 na kutuweka na njaa kali.

The leadership failed in both nations and we shouldn't sugarcoat it anymore. It's time to accept their failures and move forward. Your implementation failure as the reason behind Ujamaa downfall is past expiry date, it doesn't hold water. Any reasonable person will admit that we are much better off economically now than in 1980 unless they are die-hard Nyerere apologists who will always find a way to praise his dictatorial leadership.
No one is infallible,Nyerere was a normal human being bestowed with some talents rarely found among the others.That did not make him so special though.

What he stood and believed in,as a visionary leader aimed at making the country a better place to live: no social stratum,indiscrimination,injustice or inequalities. What transpired in implementation is inevitable. And when he realised that his "mission,vision and wishes"we're doomed, he gave up and retired a disappointed lot.He did not cling to power and impose himself onto Tanzanians. He respected the constitution, the citizens and the like. As he said:development is about people not material things!

Philosophising while having a cup of coffe,a cigar and a Chinese smartphone in hand is not the same as trying to figure out "the betterment of millions of destitues that sometimes do not know what they want,why are they alive and their tomorrow is like a misty day.

As a human being,he played his part.Let's do ours and see if we can do better. Blames won't do any good.
 
The Magogoni Government House was not built by the Germans. It was built by the order of Seyyid Majid the then Sultan of Zanzibar, people used to call it "Nyumba ya Bendera" because the flag staff raised by The Sultan at that time.The building was built in Arabic architecture and resamble the State House of Zanzibar and Kibweni Palace.
The front main huge door above it is writen in Arabic "Id-khulha be ssalaamin aaminin", meaning " Enter ye with peace and be secured" the same words written on the gate of Makkah Grand Mosque. The building was named "Daru ssalam" meaning "The House of Peace" and this is the root name of Dar es Salaam City (Dar was developed to be a city in 1865 on the Sultans order and he officially visited the city in 1866.
Hiyo imekaa poa kabisa
 
Back
Top Bottom