bartaizo
JF-Expert Member
- Jun 19, 2013
- 236
- 91
Tanzania yazamani, ile ilokosa thamani
Twaamlilia Fulani, eti bora yake asilani
Ujinga watuzonga pomoni, umezizidi homoni,
Bora Leo duniani, twasema ufisadi buriani,
Nitaanza upya tena, kulijenga tena hema
2 Timotheo:4.2
lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
Twaamlilia Fulani, eti bora yake asilani
Ujinga watuzonga pomoni, umezizidi homoni,
Bora Leo duniani, twasema ufisadi buriani,
Nitaanza upya tena, kulijenga tena hema
2 Timotheo:4.2
lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.