Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,593
- 6,934
- Thread starter
- #101
Kupotosha gani wakati aliongea na tulisikia akisema hivyo!!!!
Lete hiyo clip nami nimsikie!
Kupotosha gani wakati aliongea na tulisikia akisema hivyo!!!!
Hapo chachaUingereza wamempa mhindi uwaziri mkuu america wamempa Urais mwafrika. Onyesha nchi hata moja ya Uarabuni iliyompa mwafrika hata uwaziri.
Out of the topic.Hivi wale wadada wanaokuwa kwenye miziki ya singeli huwa wanaatikana wapi?
Je wameolew?
Assume una oa mwanamke kama yule daaah aiseeee
Mie siwakubali hao jamaa zako tangu kombe la dunia yule beki wa MORROCCO alposema ushindi wao ulkuwa wa waarabu tu na wala sio Africa 🤫 yaan wao ni bara la Africa na wakatunyanyapaa kweli, yn tangia hyo kauli mm wala sina hamu nao I HATE THEM BITTERLY.
Wavaa Kubazi sio kbs, jaribu kuangalia hata mikoa walio kaa hii jamii ya waarabu, km Tabora, Lindi >>Kilwa na Mikindani ya pale Mtwara, kwa Kigoma haswa Ujiji pale na Pwani ya Bagamoyo, yaani hakuna maendeleo kbs ni umwinyi na uchawi kwasana, Uswahili mwingii lkn mzungu japo nae ana tabia zake ila alipo kaa ujue kuna maendeleo kbs mpaka elimu ametoa na kilimo kinakua cha mifumo mizuri, lkn hawa wavaa Kubazi no maendeleo no Elimu
Mtu akitobolewa juu ya unyayo na kufungwa mnyororo anaweza tembea!?Kwa sisi watanzania tunawachukia waarabu kwa sababu ya historia tuliyofundishwa mashuleni,ile biashara ya utumwa ile,haswa kile kipengele kinachosema babu zetu walitobolewa juu ya unyayo na kupitishwa minyororo huku wakiwa wameongozana mstari,historia hiyo chungu kwa mtanzania huwezi kuifuta kwa kutajataja dini hapa,dini siyo justification ya kufunika maovu yaliyokwisha tendewa babu zetu wakiafrika.
Mtu akitobolewa juu ya unyayo na kufungwa mnyororo anaweza tembea!?
Ma wewe ndo nyani wazamani mliobadilika kuwa binadamu!?
Waliomnyima Clotous Chama maji ya kunywa ni kina nani?
Waarabu waliwauza baba zako Kama nyanya, akawaua, akawatesa na kuwafanyia Kila Aina ya dhihaka bado mkuu unawatetea ?
Ukiwaona hao waarabu, waulize kwa nn, walituletea hiyo dini ya kuchinja watu!!? Ndio urudi tena hapa.
Yani Wewe ni yule mbwa anatukanwa, amatemewa mate, anapigwa na kufukuzwa ila hachoki kujipendekeza kwakuwa anaona mnakula sinia za nyama.
Acha ujinga na kujikomba kwa Waarabu! Unakumbuka wakati wa world cup kule Qatar Wamorocco walisema wao sio Waafrika!Assalaam alaykum warahmatullah
Mada inahusu chuki, wivu, ubaguzi na roho mbaya kwa jamii ya waarabu....Nchi nyingi duniani especially sio za kiislamu, wengi wao hawawapendi waarabu na uislamu kwa ujumla, ukija kwenye maisha ya kawaida mwarabu anaonekana kuchukiwa sana, ukija kwenye suala la soka/mpira wa miguu bado mwarabu anachukiwa na kupelekewa kutukanwa. Binafsi sioni sababu ya yeye kuchukiwa, sioni kosa la waarabu, binafsi bado sijaona duniani kote jamii iliyostaarabika kama waarabu/waislamu, tembea duniani kote huwezi ukakuta watu wakarimu na wana imani kubwa kama waarabu, nawapa 💯. Kwanza ukimchukia na kumsema vibaya mwarabu najisikia vibaya, maana hata Mtume wetu Muhammad S.A.W alikua mwarabu, so nachukia sana hilo.
Nadhani wengi wetu tumeshuhudia mashindano yaliyopita ya AFL, kati ya Clubs za Afrika ya kaskazini na za upande mwingine, mnajionea kwa kile kinachoendelea dhidi ya nchi za kiislamu. Asilimia kubwa ya waafrika, especially wasio waislamu most of them wapo upande wa timu za kiafrika/weusi, sijalizimisha mtu ushabikie timu flani naomba nisieleweke vibaya, lakini unashabikia na kutoshabikia timu flani kwa lengo lipi!! Nachokiona mimi si kingine, ni rangi/race/mwarabu, huu ni ubaguzi wa wazi, na kila mara nakemea suala hili lakini naonekana mpumbavu, yani kuna watu tayari chuki zimo ndani ya nyoyo zao, na ni ngumu sana kumbadilisha mtu huyu, Allah atawaongoza watu hawa.
Lakini kwanini unamchukia mwarabu kiasi hicho! Nini haswaa amekukosea mpaka umchukie! Najionea katika mashindano mbali mbali duniani, yani mtu mweusi anadiriki kushabikia ufaransa, portugal n.k na kuipiga teke Morocco 🇲🇦 kweli!! 😁 nadhani hata wazungu walishangaa sana kuona hii kitu
Haya sasa, ukija kwenye timu zetu, jana umepigwa mpira kati ya Mamelodi na Wydad Casablanca, yani hapo ndio utajionea watu walivyo na chuki na ubaguzi wa kidini+ubaguzi kwa waarabu, sipati picha mamelodi angecheza na timu za wazungu kama, Man U, Chelsea au Arsenal hapo tutaona ubaguzi kweli!!! kila mtu ataegemea upande wake bila kuingiza chuki, ubaguzi wa kidini na ubaguzi wa rangi sio!!!!. Ila mara nyingi tunaliona kwa hao ndugu zetu wana kaskazini n.k.
Hizi ni baadhi ya comments za wadau nimescreen short mjionee wenyewe kwakweli inasikitisha sana, Allah atawaongoza, cha kushangaza hata baadhi ya waislamu wapo kwenye njia hiyo hiyo, so binafsi nawaona ni waislamu jina tu.
👇
Semi final, mamelodi and al ahly
First final, Wydad and Mamelodi
View attachment 2812952View attachment 2812953View attachment 2812954View attachment 2812958
Second final, Mamelodi and Wydad
View attachment 2812942View attachment 2812943View attachment 2812944View attachment 2812945View attachment 2812946View attachment 2812947View attachment 2812948View attachment 2812949
Mpira wa Afrika ni mgumu na wa ajabu sana, usiposhinda nyumbani kwa mabao mengi imekula kwako
Mamelod amechukua ubingwa wa AFL leo kwa kumaliza shughuli nyumbani, naamini kabisa kama ngoma ingemalizwa kule Morocco basi bila shaka Wydad angekuwa bingwa, Africa iachane na mambo ya fainali kuwa mbili, vinginevyo mcheza kwao ataendelea kutunzwa.www.jamiiforums.com
👆inasikitisha sana, ni chuki iliyoje!
Ni baadhi ya comments hizo
Haya wale wadini na wabaguzi+chuki, hiyo inawahusu. Badilikeni, aleyommba gekke bhabhaa badilikeni.
Not Racism
Bhujiku ng'waka!
Nimemaliza
HaswaaahKwanza hao waarabu hata kule world cup morocco walisema ushindi wao ni kwa ajili ya wamorocco na waarabu. Watu wanaojiona wao bora hakuna haja ya kuwapenda. Dawa nikuwakataa mazima
Muarabu koko wa Rabat na Cairo ndo anayemzungumzia yeye.Mwarabu halisi ni Saud Arabia, sasa sijui unazungumzia mwarabu yupi
Basi sawa bwashee....Kuna liarabu linatafute mke hapa nikuunganishe?Chuki haijengi ila inabomoa, badilika
Mimi binafsi nikimuona muislam yeyote naona kama vile nimeona gaidi
Mkuu,Hakuna jamii isiyo na ubaguzi, ila tunazidiana,, waarabu asilimia kubwa wako vizuri, sema hujaishi nchi zao, wabantu asilimia kubwa wana chuki kwa waarabu, ukitaka kuyajua hayo siku wanakutana timu za kaskazini na weusi utajionea, sio kwamba hulijui basi ni kujitoa ufahamu, so ni wale wale tu.
Badilika, acha chuki, roho mbaya, wivu n.k
Kesho wahi ukapimwe akili, au unadhan waarabu unaowaongelea niwale wa buza pale .