View attachment 70896duuuh
ndugu yangu hongera ila hili langu pia nauza kama lilivyo ni body tu
ilioumia
Naona umeanza kuzeeka mkuu,
jamaa kasema ANAYEITUMIA anaona TAABU KUENDESHA manual!!.. Huenda labda
ni mwanamke, wanawake wengi hawapendi manual!
Mi ninayo kama hiyo lkn
automatic transimission. Unaonaje tubadilishane. Sifa za gari lako na la
kwangu ni sawa labda hiyo gearbox. Unaonaje?