Ni gari nzuri kama unaishi maeneo ya mjini, but spear zake bei imechangamka sana
Ni gari ambazo zinahitaji service ya uhakika na oil sahihi hazitaki mazoea......!! Ya ajabu ajabu
Ukiwa uko smart unazimudu bila shida ila kama kipato chako hakieleweki kama uchi wa bamedi kaa nayo mbali