Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,494
- 37,787
Murano kuuzwa 15.5m ni aidha muuzaji anauza kwa shida au ina tatizo.Hajui bei za gari huyu anakurupuka tu
Murano kuuzwa 15.5m ni aidha muuzaji anauza kwa shida au ina tatizo.Hajui bei za gari huyu anakurupuka tu
mkuu unamaanisha land crueser Noah, land crueser voxy ,land crueser harrier old model au land crueser ipi mkuu maana inabidi tuweke akili pembeni tujadili kijinga zaidi.Hapana. Milioni 15 ni bei ya kununua Landcruiser kabisa. Hilo halija ubishi....
Tusobishane sana. Mimi niko tayari kuinujua hiyo Nissan Murano kwa milioni 7mkuu unamaanisha land crueser Noah, land crueser voxy ,land crueser harrier old model au land crueser ipi mkuu maana inabidi tuweke akili pembeni tujadili kijinga zaidi.
Kanunue Nissan Vitz Murano.Tusobishane sana. Mimi niko tayari kuinujua hiyo Nissan Murano kwa milioni 7
Tusobishane sana. Mimi niko tayari kuinujua hiyo Nissan Murano kwa milioni 7
hahaha nissan march mkuu yani kama vitz vile burdàanKanunue Nissan Vitz Murano.
Sure mkuu murano inauzwa hadi 38milMurano kuuzwa 15.5m ni aidha muuzaji anauza kwa shida au ina tatizo.
DuuuhSure mkuu murano inauzwa hadi 38mil
Bei kubwa sana. Kwa bei hiyo unaweza kupata hata Landcruiser,!
Ukiona mtu unajiuliza maswali yote hayo ujue wakati wako wa kumiliki gari haujafika, endelea kupanda daladala.Spare part availability & price ? Engine 2480cc.. Fuel consuption ? routine service cost ? etc.
Ukiona mtu unajiuliza maswali yote hayo ujue wakati wako wa kumiliki gari haujafika, endelea kupanda daladala.
Huyo jamaa nahisi mpigaji anakusanya hizo advance za 7m hata akipata watu 10 kisha anachimbaweka picha ga gari halisi bwana
Aibu gani sasa wakati ndio ukweli?Subiri umalize shule ndo utajua bei halisi za magari. Hapa unajiaibisha bila sababu
Mkuu mimi nataka yenye 4WD,ya mwaka 2008 na kuendelea,na injini iwe cc 2480,milage original iwe chini ya laki moja.Nissan Murano
Year---2004
Engine capacity----2480cc
Drive---2wd
Grade----250xl
Seat---5
Fuel---petrol
Other option---AW RR FOG HID NV P-SEAT S-SWITCH
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
BEI----15.5mil
(Unaweza kufanya malipo Mara mbili)
Malipo ya kwanza-----7mil
0715558258View attachment 943954View attachment 943955View attachment 943956View attachment 943957View attachment 943958
Badala ya kubisha fanyeni research. Huyo jamaa anakuletea Murano kwa tzs 15.5m na anapata faidaView attachment 1077744View attachment 1077745
Sure mkuu murano inauzwa hadi 38mil
tena lazima liwe na ubovu limechoka alafu namba A
Murano kuuzwa 15.5m ni aidha muuzaji anauza kwa shida au ina tatizo.
Kwani Prado siyo land cruiser? Mbona zipo hadi za 10m? Mnabisha tu buremkuu unamaanisha land crueser Noah, land crueser voxy ,land crueser harrier old model au land crueser ipi mkuu maana inabidi tuweke akili pembeni tujadili kijinga zaidi.
mkuu unamaanisha land crueser Noah, land crueser voxy ,land crueser harrier old model au land crueser ipi mkuu maana inabidi tuweke akili pembeni tujadili kijinga zaidi.
Kuna watu washajiwekea kichwani gari fulani bei fulani.....miaka inaenda bei alioweka kichwani ni ile Ile. Trust me na wanapigwa bei kweli kweli.Kwani Prado siyo land cruiser? Mbona zipo hadi za 10m? Mnabisha tu bure