Nisomeee bachelor degree Tanzania au Indonesia

Angalizo nakupa ukirudi na degree yako toka nje utakutana na Nacte na wale wenzao wataevaluate cheti chako cha mbele na kurecommend kiko below standards yani chini ya degree level as if elimu ya bongo iko juu kuliko nje .yalinikuta mwenzio halafu watakujibu kirahisi tu tunapromote vyuo vya ndani
 
Kwa ushauri wako si zani kwa sababu ni scholarship ungekuwa naenda soka kwa kumtumia hela yangu sawa lakini ni makubaliano kati ya Tanzania na Indonesia. Kusomesha watanzania nchini kwao ..

Na kengine ntaenda masters so sio Tanzania tena kwa hiyo ukisema nante sijajua watakuwepo wapi bado watapenda wawe nyuma kimaendeleo au mbele kimaendeleo ..


Na finally look TCU wao ni wana angalia kama hicho Chuo kina faamika world wide tu ..ilimraji icho Chuo wanakijua tu. .
 
Kwa ushauri wako si zani kwa sababu ni scholarship ungekuwa naenda soka kwa kumtumia hela yangu sawa lakini ni makubaliano kati ya Tanzania na Indonesia. Kusomesha watanzania nchini kwao ..

Na kengine ntaenda masters so sio Tanzania tena kwa hiyo ukisema nante sijajua watakuwepo wapi bado watapenda wawe nyuma kimaendeleo au mbele kimaendeleo ..


Na finally look TCU wao ni wana angalia kama hicho Chuo kina faamika world wide tu ..ilimraji icho Chuo wanakijua tu. .

Hata ukisoma mbinguni,kama unampango wa kuajiriwa Tanzania ni lazima nacte wakipitishe cheti chako.kama tungekuwa na ubalozi indonesia ungeweza ifanya kupitia wao,ila hatuna diplomatic or consular representation in Indonesia..Ila kama ni kujiajiri au kuendelea kubaki Indonesia then haina shida.
 
Kama nimekuelewa vizuri ndugu yangu ni kwamba ndio kwanza upo mwaka wa kwanza hapo UD na course unayo ichukua ni ya miaka mitatu na umepata scholarship ya kwenda nje miaka 4 tena ktk nchi ambayo ulishawahi kwenda na ukaishi for 6 months.

Ushauri wangu nikwamba andika barua ya kuhairisha masomo hapo UD then nenda nje kapige 4 years.

Why nimekushauri hivyo ni kwasababu hata utakapo maliza hiyo shule yako nje ya nchi ukirudi hapa nyumbani utakua umeongeza exposure.

Lapili nikwamba hata utakapo kujakuomba ajira utakua na chance kubwa kuajiriwa kuliko labda hata hao wenzako wanaomaliza mwaka huu, maana unaweza ukawakuta wapo wapo tuu. You know why unaweza kuajiriwa kuliko hao wenzako nikwasababu tayari ulishakua na hiyo experience ya kufanya kazi kwenye hiyo agricultural sector kama ulivyo eleza kwenye maelezo yako kwamba you worked for six months. Nakubwa zaidi umeenda kusomea the same related issues.

Halafu pia unawezakuta unaenda kusoma ktk university yenye higher status duniani kuliko hiyo UD ambayo daily kuna kiki za kijingajinga mara "Nondo" kajiteka mara paa "Msumari" umetoeka haupo chuoni. Then munaanza kudiscuss mambo ya kijingajinga badala ya kusoma.

Kubwa zaidi ndugu yangu kwa vile wewe Dume so huna skirt ya kuwavulia baadhi ya hao jamaa hapo UD ukute unamaliza na G.P.A yaajabu. Yaani haifai hata kwa mboga.
Kwa afya ya mafanikio yako ya baadae nenda mbele kwa mbele.
Very wise.Good.
 
Yes nimepata scholarship

Sua nili apply sikupata ndo nimechaguliwa hiyo bachelor In commerce in finance... Udsm

Moyoni I nataka hiyo scholarship Indonesia kwasababu nilikuwa huko. For 6 month na I enjoyed using it ..

Sasa usauri wa wazazi ilinicost mmno ningekuwa tayari namaliza nawezangu sa saivi toka nilipo maliza high school ..

So kwa wengine wenye experience. Need advice in that
Dogo chapa mwendo yaani haikuwa na haja hata ya kuomba ushauri kwani ina maana huoni km bahari ishachafuka kutwa mawimbi,viroba vyenye watu na mengineyo kibao.Songa mbele.
 
Hata ukisoma mbinguni,kama unampango wa kuajiriwa Tanzania ni lazima nacte wakipitishe cheti chako.kama tungekuwa na ubalozi indonesia ungeweza ifanya kupitia wao,ila hatuna diplomatic or consular representation in Indonesia..Ila kama ni kujiajiri au kuendelea kubaki Indonesia then haina shida.
Ningependa nikuambie ata hao TCU. This year wame wametoa tangazo mka apply scholarship to Indonesia . so nakushauri just visit TCU ukajionee tu mwenyewe.

Asante .
 
Kama bado utakuwepo kuanzia tarehe 26 mwezi huu, (mwanzo Wa semista ya pili) naomba tutafutane. We need to talk. Haya Mimi nipo kwenye hicho chuo ulichokitaja na lengo la kukwambia tutafutane ni kwa sababu nimeona kwamba tunahitaji kuongea kwa kirefu huku ukiendelea kupokea ushauri na michango mbalimbali ya wadau hapa jukwaani.
Kujuana tena? Hapana
 
Huwa sielewi Mtu uenaendaje kusoma nchi kama Indonesia, India, Philippines nk. Ni nchi za hovyo na mazingira yake ni kama bongo tu, ukiongeza na language barrier ndo kabisa. Binafsi Bora nikasome TEKU kuliko hizi nchi

Nenda afu TCU wakwambie hawaitambui degree yako.
 
Ningependa nikuambie ata hao TCU. This year wame wametoa tangazo mka apply scholarship to Indonesia . so nakushauri just visit TCU ukajionee tu mwenyewe.

Asante .

ishu sio ku apply wapi.Mi nilikuwa naongezea kwenye mchango wa mdau hapo juu aliye kwambia ni lazima ku convert cheti chako utakapo rudi Tz kama utakuwa na mpango wa kuajiriwa serikalini.Lakini ukisoma agrobusiness unaweza ukajiajiri,so usiwaze sana kuajiriwa.Indonesia nchi nzuri ,ninaifahamu vilivyo nimeishi.Just don't know why hatuna embassy Indonesia.
 
Huo muda wa kwenda kusoma lugha Kwa mwaka 1,alafu ndio uanze safari ya kusaka degree mkuu sibora utulie Zako bongo, ila uzuri hapo juu kama sikosei unapenda kwenda, hivyo fanya kile kipo Sawa moyoni mwako uwe huru moyoni.
 
ishu sio ku apply wapi.Mi nilikuwa naongezea kwenye mchango wa mdau hapo juu aliye kwambia ni lazima ku convert cheti chako utakapo rudi Tz kama utakuwa na mpango wa kuajiriwa serikalini.Lakini ukisoma agrobusiness unaweza ukajiajiri,so usiwaze sana kuajiriwa.Indonesia nchi nzuri ,ninaifahamu vilivyo nimeishi.Just don't know why hatuna embassy Indonesia.
Kwa as time goes naamini we are still developing. Kama wao wameweza kunayo kwetu ata sisi twaweza. Kuweka na kwao. Na hii yote kwa sababu Tanzania hakuna hela tungekuwa nazo tungeweza kuweka embassy na kwao pia.
 
Huo muda wa kwenda kusoma lugha Kwa mwaka 1,alafu ndio uanze safari ya kusaka degree mkuu sibora utulie Zako bongo, ila uzuri hapo juu kama sikosei unapenda kwenda, hivyo fanya kile kipo Sawa moyoni mwako uwe huru moyoni.
Kwangu sijaona hasara am there to learn. Always u should have something unique tofauti na wengine Leo au kesho will be an added advantage to u.
 
Huwa sielewi Mtu uenaendaje kusoma nchi kama Indonesia, India, Philippines nk. Ni nchi za hovyo na mazingira yake ni kama bongo tu, ukiongeza na language barrier ndo kabisa. Binafsi Bora nikasome TEKU kuliko hizi nchi

Nenda afu TCU wakwambie hawaitambui degree yako.
Kaka kwa ninavyo amini GPA its GPA . kama nikipata GPA ya tano nahicho Chuo kinajulikana world wide. Usiniambie watasema ni sawa na GPA 3.0 ya Tanzania. Na pia hata hizo masters scholarship wanahuo muda wa kufanya izo standardization. ...always na amini we need to think in side the box but outside the box. Kuna Leo na kesho na new laws and policy are always developed .
 
Back
Top Bottom