Mkuu jipe imani tu kwamba hiyo chanjo yao itabaki tu kuwa maji mwilini mwako, ili upate uhuru wako wa kurejea nyumbani.Ukichanja ndiyo bas tena
Huwez danganya kuwa umepata chanjo mzee wana Scan isiposoma unarudishwa
Hakuna ujanja huku
Mimi nipo Denmark utaratibu ndiyo huo nimeshindwa kurud home sababu ni hiyo scanner huwez danganya nimegoma kuchanja bora nife huku huku tuu ila sichanji