#COVID19 Nishaurini wakuu chanjo yaniogopesha

Ukichanja ndiyo bas tena
Huwez danganya kuwa umepata chanjo mzee wana Scan isiposoma unarudishwa
Hakuna ujanja huku
Mimi nipo Denmark utaratibu ndiyo huo nimeshindwa kurud home sababu ni hiyo scanner huwez danganya nimegoma kuchanja bora nife huku huku tuu ila sichanji
Mkuu jipe imani tu kwamba hiyo chanjo yao itabaki tu kuwa maji mwilini mwako, ili upate uhuru wako wa kurejea nyumbani.
 
Mkuu usiwe na hofu nenda kachanje, kama kuna hila yoyote mbaya kuhusiana na hiyo chanjo haiwezi kukuathiri moja kwa moja kwa kuwa Mungu anayo namna ya kulinda watu wake regardless wamewekewa mtego gani......Mtume Paulo aling'atwa na nyoka, watu walipofikiri kwamba madhara au kifo kingemfika wakaona jamaa hana wasiwasi wowote, yeye ndo akawa anawashangaa kuona wanamkazia macho.
nime ipenda hii mkuu ume nitia moyo sana
 
Ukichanja ndiyo bas tena
Huwez danganya kuwa umepata chanjo mzee wana Scan isiposoma unarudishwa
Hakuna ujanja huku
Mimi nipo Denmark utaratibu ndiyo huo nimeshindwa kurud home sababu ni hiyo scanner huwez danganya nimegoma kuchanja bora nife huku huku tuu ila sichanji
Duuh hii ni hatari
 
Wazee wa jf mimi nimechanja hii jj tangu May. Mimi ni miongoni mwa watu ambao hawajawaipata side effects za chanjo ya covid.

NB: Hapo kabla nilichanja hapatitis B, tetenus , Polio ,tezi dume, Manjano nk- hata hizi sikuwai pata side effects - nadhani mwili wangu ndivyo ulivyo.
 
Tafta nesi mpe 100k akujazie form kama umechanjwa upate cheti uendelee kufanya shughuli zako.

Ishauri mbovu kuwahi kutolewa na Great Thinker. Ilivyokuwa kwa sasa suala la Kupima na Kuchanjwa ni suala very sensitive, ukigushi pale Terminal 3 huwez kuvuka, utanaswa na kupoteza muda bure. Hawatanii kwenye issue za Uviko-19. Mashine zao watakuambia hii ni kipimo na taarifa fake na pia kama ni chanjo pia ni certificate fake. Na hilo likitokea, hawahangaiki tena na wewe wanakuambia pisha wengine wewe hukidhi vigezo.
Mdau fuata procedure sahihi huo ujanja ujanja hauna nafasi tena, take from my words.
 
Ukichanja ndiyo bas tena
Huwez danganya kuwa umepata chanjo mzee wana Scan isiposoma unarudishwa
Hakuna ujanja huku
Mimi nipo Denmark utaratibu ndiyo huo nimeshindwa kurud home sababu ni hiyo scanner huwez danganya nimegoma kuchanja bora nife huku huku tuu ila sichanji

Nimeshauri the same kabla sijauona huu uzi wako.Hata hapa Tanzania, issue iko very Strict. Halafu by the way, msomi mzima unakaa na kusikiliza porojo za mitaani kuliko chanjo. Ni ajabu sana, iamini sayansi ambayo inaweza kukuambia una Corona ama la, tofauti na ramli ambazo hata kutoa majibu tu kuwa una Corona haziwezi. Usiamini porojo.
 
Hii kitu huwezi danganya maana ina scan na inatambua yupi kachanja na yupi hajachanja.

Uamuzi ni wako mkuu Elimu na kutweza utu wako au Usichome na utajua sasa juu ya elimu itakuaje. Ila chanjo haina blah blah na longolongo mzee iko kwenye mifumo mahsusi
 
Habari ndugu zangu.

Nisiwachoshe niende kwenye mada

Nina SCHOLARSHIP TATU.
1. Oslo university NORWAY
2. Kenyatta univesity, Nairobi KENYA
3. Maseno university, Kisumu KENYA.

Kusoma degree ya pili.

Sasa naogopa nasikia mipakani au kusafiri ni lazima uchanjwe au uwe na certificate ya Corona.

Nawaza mno nakosa majibu, muda unazidi kwenda na vyuo vimeanza, na tayari nilipata Online orientation.

Nishaurini wakuu, ni mtumishi na mwajiriwa serikalini.

View attachment 1926728
Kwa KWELI kama unaongia kwenye international affairs you have no option Kula chanjo mwanawane,achana na Gwajimaism! Ila mimi Nina hofu zaidi na story hizi kwa hizi attachments ,naona maelezo haya yamekiuka KATIBA yetu na JMT Iimetupiga teke

7A887F91-06C5-48E1-B4E4-73ACEB1C7D8C.png


BF2E9C9F-7011-4BB1-AC32-B6C3A0F6B831.jpeg


6B2A0850-CF02-49AC-9A4C-A0FE328D5A6E.png
 
Habari ndugu zangu.

Nisiwachoshe niende kwenye mada

Nina SCHOLARSHIP TATU.
1. Oslo university NORWAY
2. Kenyatta univesity, Nairobi KENYA
3. Maseno university, Kisumu KENYA.

Kusoma degree ya pili.

Sasa naogopa nasikia mipakani au kusafiri ni lazima uchanjwe au uwe na certificate ya Corona.

Nawaza mno nakosa majibu, muda unazidi kwenda na vyuo vimeanza, na tayari nilipata Online orientation.

Nishaurini wakuu, ni mtumishi na mwajiriwa serikalini.

View attachment 1926728
Yaani msomi wa Chuo kikuu Bado unamsikiliza Gwajima
 
Yaani msomi wa Chuo kikuu Bado unamsikiliza Gwajima
Simlaumu yeye, ni wahusika wa hizi taaluma walikubali kudanganya watu hapo kabla , sasa leo wanapobadilisha maneno watu wanapata wasiwasi.

Japo kwa usomi wake alitakiwa kujiridhisha mwenyewe kwa kupata habari zilizo sahihi juu ya covid na chanjo yake.
 
Back
Top Bottom