mchumi tumbo
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 832
- 996
piga shule,ukifaulu vizuri kasome unachokipenda
Nilikuwa naomba ushauri wenu
Mimi ni mwanafunzi nlieitimu kidato cha NNE mwaka 2017.
Pia nilikuwa nataka nkasome advance PCM alafu
Chuo nisome cyber security ,hila nasikia kunatatizo LA ajira katika course hiyo.
Kwahiyo nishaurini nichukue mining engineering, electrical engineering au cyber security ajira zipo nisome hiyo hiyo.
Na pia katika ushauri wenu naomba mnipe sababu kwanini unashauri ivyo
(Wataalam naombeni ushauri apo)
Dogo kupata hizo CCC sio rahisi kama unavoziandika mdogo angu.. Anaepata hivo ni yule ambae kwake A'level imekuwa nyepesi.. Natamani ningekuona hata nkushauri face to face.. Una mawazo mepesi sana unaonekana mdogo angu.. Embu tafuta msomi mmoja akushauri huko ulipoSawa mkuu nimekuelewa sana.
Kwanza advance inachangamoto sana hila kila MTU anauwezo wake .
Ndugu yangu Mimi huwa napenda kujiandaa mapema sana hili kama kitu kinaitaji connection basi niziandae mapema.
Lengo ni kujua coz gani ni nzuri zaidi na inasoko na kwanini zingine unishauri kuchukuwa.
Matokeo PCM Fanya 1.9 CCC.
"Lengo kujua coz gani ni nzuri zaidi na inasoko na kwanini"
Zingatia lengo
Asante!!!
Kijana CCC pcm au pcb sio masihalaKwanza kabisa asante kwa kusoma post yangu.
Ndugu yangu naelewa advance ngumu hila kila MTU anauwezo wake.
Napenda kujipanga mapema kama connections niandae mapema
Lengo LA kuandika post hii ni kujua tu coz gani nzuri zaidi na inasoko .pia na kwanini zingine sio nzuri.
Matokeo advance PCM Fanya 1.9 CCC.
"Lengo kujua coz gani inasoko na nzuri zaidi" zingatia lengo
Asante!!
Nilikuwa naomba ushauri wenu
Mimi ni mwanafunzi nlieitimu kidato cha NNE mwaka 2017.
Pia nilikuwa nataka nkasome advance PCM alafu
Chuo nisome cyber security ,hila nasikia kunatatizo LA ajira katika course hiyo.
Kwahiyo nishaurini nichukue mining engineering, electrical engineering au cyber security ajira zipo nisome hiyo hiyo.
Na pia katika ushauri wenu naomba mnipe sababu kwanini unashauri ivyo
(Wataalam naombeni ushauri apo)
Asante sana mkuu.kwanza unahitaji kuikumbuka ndoto yako (kama ulikuwa nayo wakati unaanza shule) Kama bado imo kwenye ulicho achieve mpaka sasa angalia katika fani hizo tatu ipi inafiti the best with that dream. then follow that. ukija hapa jamvini watu watakuchagulia fani based on their dreams, achievements, failures, irresponsibilities zilizowafanya washindwe au some other aspect ambayo sio lazima iwe true with you. mtu atakwambia mining inachukua muda mrefu kusoma. jiulize kwa nini bado inafundishwa. au atakwambia kasome law kwa sababu yeye ni mbishi na kamuona somebody mmoja tu aliyefanikiwa katika law lakini labda sio kwa some orthodox means. yapo mambo mengi ya kutafakari lakini anza na wewe mwenyewe una nini mkononi, unataka kufika wapi. maisha hakuna kuchelewa na kila mmoja anauwezo wa kufika anapopataka akiweka juhudi ya kiakili, kirasilimali and physically panapotakiwa. tafuta ushauri wa kufaa lakini uupime kabla ya kuuchukua. but you first need to have a dream of your own.