hussein wajohari
Member
- Jul 13, 2016
- 10
- 0
Unajua rizki ya mtu anaijua mungu usikate tamaa mi nakushauri utafute chuo na uchague kozi inayo endana na majibu yako
Inno lakaMkwepa kodi
Una weza kusoma advance private unaweza kusoma certificate ya vyuo vya afyaCiics-C,,Hist-C,,Engl-C,,Kisw-C,,Geo-D,,Bios-D,,Phy-D,,Chem-D,,Maths-D
Je ni lini utaanza kulipa kodi...Inno laka
Una maanishaaa.......mbona kama kuna ukweli ndani yakeCiics-C,,Hist-C,,Engl-C,,Kisw-C,,Geo-D,,Bios-D,,Phy-D,,Chem-D,,Maths-D
Hilo ni jina tu kama majina mengine kwa mfano POMBE haina maana anakunywa sana hicho kinywajiJe ni lini utaanza kulipa kodi...
Aya Mkuu ......neno moja kwa form six waliofanya vibaya...Hilo ni jina tu kama majina mengine kwa mfano POMBE haina maana anakunywa sana hicho kinywaji
Kozi zote za afya nzuri kunzia clinical assistant nursing pharmacy lab technology nkkozi gani nzuri
Mbna cjaona F apoCiics-C,,Hist-C,,Engl-C,,Kisw-C,,Geo-D,,Bios-D,,Phy-D,,Chem-D,,Maths-D