Kuna vitu vya kuita utani ila ulichofanya wewe sio utani. Vitu kama hivi hutakiwi kumwacha mtu akae nacho hata kwa masaa mawili achilia mbali siku nzima na ya pili juu kabla ya kumwambia ulikua unatania maana kama ni reaction yake umeshapata.
Kitendo cha wewe kuendelea kumwaminisha hivyo mpaka kesho yake alafu sasa hivi unasema 'sikujua angemambia mama yake' ni uzembe (nimetamani kutumia neno lingine ila ni kali zaidi). Nwy. . .jiandae kuwaomba samahani mana una kazi ya kumweleza mchumba kwamba ulikua unamtania, nae anakazi ya kumwelewesha mama yake kwamba alikua anataniwa , ambae nae anatakiwa awaeleweshe hao baba wadogo kwamba the whole thing was a joke. Kwa kitendo ulichofanya tegemea kutochukuliwa serious pale utakapokua serious. Anaweza akawa anaitika vitu ukimwambia ila akilini mwake havikai. Usishangae hata mama mkwe akipunguza ukaribu na wewe.
Kila la kheri.
pole sana kwa kazi nzito iliyopo mbele yako,,, kwa vile yameshatokea tafuta njia ya kusovu! na wala usijilaumu! tl una chance ya kumconvice mchumba wako na akakuelewa,,,! tumia convincing power yako yote uliyonayo! ucichelewe kwani jambo litakuwa zito zaidi! bt next tyme kuwa makini
Kwana pole,ila nawe bidada hujui hata njia salama za kupima upendo wa mpnz wako?
Nakushauri fanya mpango wa kuipata hiyo mimba fasta kabla hujaharibu hali ya hewa,
Jaman jaribu kujiamin kuwa unapendwa,usiwe unapenda kufanya majaribio ya kiwango cha mapnz hakipo kbs dunian hasahasa utakuwa unajidanganya na kujipa presha bure na kuhatarisha mahusiano yako.
Wewe kichwa maji kabisa jambo dogo hivyo. Mwambie hivi unaumwa tumbo, na baadaye neda kaongee na dokta akuandikie cheti kuwa mimba imetoka la sivyo, your going to die.
Mwambie ulikuwa kenye daladala watu wakakubana vilivyo, wakambana mtoto tumboni na mimba imetoka.
Baada ya hapo nenda Kanisani au Msikitini ukatubu
Byeeeeeeee
Wewe kichwa maji kabisa jambo dogo hivyo. Mwambie hivi unaumwa tumbo, na baadaye neda kaongee na dokta akuandikie cheti kuwa mimba imetoka la sivyo, your going to die.
Mwambie ulikuwa kenye daladala watu wakakubana vilivyo, wakambana mtoto tumboni na mimba imetoka.
Baada ya hapo nenda Kanisani au Msikitini ukatubu
Byeeeeeeee
nimecheka hadi peke yangu huku shambani.....mimba haina hata mwezi mmoja tayari kimeshakuwa na kufikia hatua ya kubanwa!!!?? hata zygote stage bado hakijamaliza!!!!
mpe ushauri mwingine huu haufai.....
jiuguze mwambie imetoka
Hili nalo neno. Asante kwa ushauri. Je nimwambie baada ya wao kwenda kujitambulisha au kabla? na kama ni kabla haiwezi kuleta delay ya wao kuendelea na process?
Karibu tena tafadhali.
Usijali nitakuombea ila nawe ujiombee,Shukran Mdau. Naomba uniweke kwenye maombi ili nitakapo kutana nae basi nipate hiyo mimba maana Mama Mkwe ndo kang'ang'ana na kubembeleza nijitahidi kula.