karonga
JF-Expert Member
- Mar 19, 2017
- 637
- 1,034
Sio kuwazidi kipato tu hata elimu umzidi mwanamke japo English course, vyenginevyo ni maumivu kama hayoNdiyo maana tunasisitiza kutuzidi kipato ......utateswa sana ukimwoa
Sio kuwazidi kipato tu hata elimu umzidi mwanamke japo English course, vyenginevyo ni maumivu kama hayoNdiyo maana tunasisitiza kutuzidi kipato ......utateswa sana ukimwoa
Umemaliza kabisaNi heri ukosee kujenga nyumba kuliko kukosea kuoa! Dalili ya mvua ni mawingu ....
nyie wasenge ndo maana mnajinyonga.Kwanin unafosi mapenzi wakati mademu/wanawake kibao.Mimi ni mwanaume wa miaka 27, nina mchumba tuliyedumu miaka 3 sasa kuanzia 2021 tulipomaliza chuo pamoja na mpaka sasa tunaishi pamoja
Nafanya kazi Kampuni ya mawasiliano na yeye anasoma masters huku akifanya kazi Bank moja hapa jijini. Wakati tunaanza mahusiano kila mmoja alikuwa wazi kuhusu historia yake ya mahusiano ambapo mimi hapo awali niliwahi kuwa na mpenzi mmoja tu ila yeye aliwahi kuwa nao watatu. Tulikubaliana kwa pamoja mwaka huu 2024 nikafanye utambulisho kwao then swala la mahari lifate
Mara nyingi nakuta message za mapenz kwny simu yake kutoka kwa wapenzi wanaume wa zamani ila alikuwa mwepesi kuomba msamaha na kukiri kuacha na anasema hana mpango nao ni mawasiliano tu. Lakini hakuacha tabia hii alifuta majina zikaonekana namba tu na yupo makini sn na sim yake hata bafuni alikuwa anaenda nayo.
Pamoja na hayo alichojibu baada ya kumtaka kumfahamu anawasiliana na nani ni hiki:
1. Huna haja ya kufaham marafiki zangu
2. Huyu nilianza nae mahusiano kabla yako
3. Nina uwezo wa kuwa hata na wanaume 10 ni maisha yangu.
Naumia sana wandugu sijui la kufanya, ameomba msamaha kuwa ni shetani tu kampitia. Nishaurini ndugu zangu nifanye nini
Pamoja na hayo alichojibu baada ya kumtaka kumfahamu anawasiliana na nani ni hiki:
1. Huna haja ya kufaham marafiki zangu
2. Huyu nilianza nae mahusiano kabla yako
3. Nina uwezo wa kuwa hata na wanaume 10 ni maisha yangu.
Naumia sana wandugu sijui la kufanya, ameomba msamaha kuwa ni shetani tu kampitia. Nishaurini ndugu zangu nifanye nini
Haswaaa umesema ukweliEndelea nae tu mpaka awalete hapo hapo mnapokaa wamkaze ukiona.
Huyo shetani aliempitia ni dume kama wewe ila mwenzio anachapa na kusepa, wewe endelea kuweka kambi.
Jamaa mpaka kaniudhiNiliposoma paragraph ya mwisho, nimekufananisha na yale matoto mazembe yaliyolelewa kimayai mayai ambayo yakiguswa kidogo tu yanaishia kuchimba biti la "nitakusemea kwa mama"...
Mtu kama wewe hata tukikushauri tutakuwa tunapoteza muda tu, pambana na uduanzi wako...
Hahahaaa..... JFs huwezi kuwa na stress kamwe.....naenda youtube nikasikilize vizuri Bushoke.Awee mamaa weee
Ingekua ungefanyajeee
Awee mama weee
Ingekua ungefanyajee
Mwenzenu nakosewa mimii
Na msamaha naombaa mimii
Awee mama wee ingekua ungefanyajee.
Atist:Bushoke
We kima Mwiba1 njoo hukuPamoja na hayo alichojibu baada ya kumtaka kumfahamu anawasiliana na nani ni hiki:
1. Huna haja ya kufaham marafiki zangu
2. Huyu nilianza nae mahusiano kabla yako
3. Nina uwezo wa kuwa hata na wanaume 10 ni maisha yangu.
Naumia sana wandugu sijui la kufanya, ameomba msamaha kuwa ni shetani tu kampitia. Nishaurini ndugu zangu nifanye nini
Danga la Kufa mtuUnakaribia kuoa malaya
Wewemsenge angalia cha kuandikaachana na umbea wa ndoa za watu sasa hapo unatakiwa ujifunze kwa waliobugi ili wewe usije kurudia makosa sio kuchukia wanawake wote..
Hiyo namba 3 ni jibu lako, kama umeshindwa kuchukua hatua mpaka sasa mbeleni kuna kiza kinene. Mwanamke ana kupenda hawez kukutamkia kauli kama hizoMimi ni mwanaume wa miaka 27, nina mchumba tuliyedumu miaka 3 sasa kuanzia 2021 tulipomaliza chuo pamoja na mpaka sasa tunaishi pamoja
Nafanya kazi Kampuni ya mawasiliano na yeye anasoma masters huku akifanya kazi Bank moja hapa jijini. Wakati tunaanza mahusiano kila mmoja alikuwa wazi kuhusu historia yake ya mahusiano ambapo mimi hapo awali niliwahi kuwa na mpenzi mmoja tu ila yeye aliwahi kuwa nao watatu. Tulikubaliana kwa pamoja mwaka huu 2024 nikafanye utambulisho kwao then swala la mahari lifate
Mara nyingi nakuta message za mapenz kwny simu yake kutoka kwa wapenzi wanaume wa zamani ila alikuwa mwepesi kuomba msamaha na kukiri kuacha na anasema hana mpango nao ni mawasiliano tu. Lakini hakuacha tabia hii alifuta majina zikaonekana namba tu na yupo makini sn na sim yake hata bafuni alikuwa anaenda nayo.
Pamoja na hayo alichojibu baada ya kumtaka kumfahamu anawasiliana na nani ni hiki:
1. Huna haja ya kufaham marafiki zangu
2. Huyu nilianza nae mahusiano kabla yako
3. Nina uwezo wa kuwa hata na wanaume 10 ni maisha yangu.
Naumia sana wandugu sijui la kufanya, ameomba msamaha kuwa ni shetani tu kampitia. Nishaurini ndugu zangu nifanye nini
Acha kuvuta bange utaanza kuiona dunia kwa mtazamo mwingine you are so negativeWewemsenge angalia cha kuandika