Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 1,946
- 5,852
Ndugu wana Jf.
Hii ni comment yangu nimeiweka mahali ila naona nikiifanya uzi nitapata mawazo mazuri zaidi
Nina binti wa kichagga kwa upande wa mawasiliano yangu na yeye ni mwendo wa mchaka mchaka, na hivi ndivyo anavyo nipeleka kama nilivyo ainisha kwenye hii comment hapo chini kuhusu namna anavyo nipeleka kimawasiliano
""Mimi hapa na tafutwa sana na huyu mwanamke wangu, ananipeleka mbio mbio sana yani sipumziki, siii meseji sii kupigiwa napelekwa mbio kweli inabidi tuu nifate upepo wake huku nimeshikilia akili zangu sawa sawa maana naweza ziacha njiani
Na kwenye kugegedana sasa ni mbio mbio tuu kwa kweli muda wote yeye ananyege yani sipumziki wakuu na kila wakati anataka kuniona . Natamani ni mwambie ila naona acha tuu ni mvumilie japo vihela vya hapa na pale nampampa."
Wakuu hapa napendwa au ndiyo imekaaje ?
Hii ni comment yangu nimeiweka mahali ila naona nikiifanya uzi nitapata mawazo mazuri zaidi
Nina binti wa kichagga kwa upande wa mawasiliano yangu na yeye ni mwendo wa mchaka mchaka, na hivi ndivyo anavyo nipeleka kama nilivyo ainisha kwenye hii comment hapo chini kuhusu namna anavyo nipeleka kimawasiliano
""Mimi hapa na tafutwa sana na huyu mwanamke wangu, ananipeleka mbio mbio sana yani sipumziki, siii meseji sii kupigiwa napelekwa mbio kweli inabidi tuu nifate upepo wake huku nimeshikilia akili zangu sawa sawa maana naweza ziacha njiani
Na kwenye kugegedana sasa ni mbio mbio tuu kwa kweli muda wote yeye ananyege yani sipumziki wakuu na kila wakati anataka kuniona . Natamani ni mwambie ila naona acha tuu ni mvumilie japo vihela vya hapa na pale nampampa."
Wakuu hapa napendwa au ndiyo imekaaje ?