Gracious
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 1,889
- 1,083
Ndugu zangu,Miezi mitatu iliyopita nilikutana na binti mmoja mrembo sana kwenye chombo cha usafiriIlikua ni usiku,baada ya kukaa sehemu moja nikawa nime anzisha conversation ambayo mwanzoni haikupokelewa vizuri lakini baada ya kuonekana kusisitiza basi maongezi yakanoga.
Huyu binti ndani ya muda mfupi alinieleza mambo yake mengi mwishoni tukabadilishana namba za simuBaada ya kuagana kesho yake nikaomba appointment ambayo haikukataliwa tukaonanaIkawa kila siku nikitoka kazini ananitafutanikiwa kazini ananifuata ananisubiri jioni twende nyumbani Ilichukua wiki moja tu tangu kufahamiana nikawa nimejuana nae.
Ikawa ni kila siku asubuhi saa nne anakuja kazini kwangu jioni ananisubiri anipeleke home.Anabadili magari ndani ya wiki moja anakuwa na zaidi ya magari mawili tofauti.Tangu nimefahamiana nae amekuwa akiendesha Rav 4,Mark X,Brevis,Murrano na Benz, haya ndiyo amekua akibadili zaidi.
Huyu binti ana connection kubwa sana na wanasiasa kuanzia mkulu hadi wengineo wakubwa wote sio chama tawala.sio upinzani Kwake kupiga kwa mkulu ni kawaida.Tatizo langu kubwa nikimuhoji kinagaubaga kazi yake ni nini ananijibu anamanage projects mbalimbali kitu ambacho sijawahi kukielewa kabisa it doesnt click na ukimuhoji sana ili kujua specifics mnagombana.
Mimi kazi yangu siyo ya kipato kikubwa kihivyooo.Lakini binti anaamua tu kwenda sehemu ambazo ni za gharama kwangu bila kunitaarifu alafu nikifika ananiambia ni settle bill.Kwa mfano one day akawa ananisubiri mjini kumuuliza uko wapi.
Akaniambia niko serena njoo kufika ameshaspend laki 3 mimi kwangu hio ni kubwa sana hasa kama sikupanga then ananipa mimi ni settle hajanitaarifu before kwamba tunaenda pale.
Kubadili nywele mara mbili kwa wiki nikimwambia hiyo siwezi sina pesa ugomvi naambiwa mimi bahili.Katika movement zote of course ni mimi nimekuwa nikizigharamikia.Akija kwangu kuna nguo zake ameachahataki kuzivaa tena kila akija anataka nimnunulie nguo nyingine ya kuvaa kesho yake.Kwa hio kwa wiki anataka mnunue nguo saba.
Kumpenda nampenda lakini naona kama ananirudisha nyuma.Nimemkalisha kumweleza aelewe hali halisi.Mgumu kunielewa,tunagombana then.Tatizo langu lingine hapa hata kama una pesa vipi mipangilio ni muhimu huyu binti wangu haelewi na hapo mnagombana.
Jamani nikosoeni nishaurini kama kuna kitu nakosea.
Update:
JF nashukuru sana,Asanteni ndugu zangu wote mliochangia katika thread hii.Hatimaye nimehitimisha hili suala.Ingawa imekuwa kwa kuumia kiasi.
Nilifanya yafuatayo;
1.Niligoma kabisa kutoa hela yoyote nikamwambia nina hali ngumu ya uchumi...nikamwomba yeye anisupport -Baada ya kusema nina hali ngumu ugomvi mkubwa ulizuka pasipo na sababu ya msingi hadi jana ambapo niliamua kusitisha ule ujinga.
2.Nilifuatilia nyendo zake bila yeye kujua...nilichotambua yule binti ni kahaba ambaye anajiuza kwa wanasiasa.Kipindi cha bunge lililopita huyu binti alikua dodoma...nimefuatilia pasipo shaka...hicho ndicho anachokifanya.
3.Magari amekua akichukua kwa mwanaume mmoja ana yard...Yeye pia ni mteja wake....Kwa hio amekua akichukua gari na kutembea nalo....anabadili...likiuzwa anachukua lingine.
4.Nyumba anayokaa ni ya dada mmoja rafiki yake ambaye yuko Arusha kikazi.
Nashukuru sana Wana JF......Kutokana na ushauri wenu nimeweza kutambua haya na kuweza kuachana na hii nightmere.
Huyu binti ndani ya muda mfupi alinieleza mambo yake mengi mwishoni tukabadilishana namba za simuBaada ya kuagana kesho yake nikaomba appointment ambayo haikukataliwa tukaonanaIkawa kila siku nikitoka kazini ananitafutanikiwa kazini ananifuata ananisubiri jioni twende nyumbani Ilichukua wiki moja tu tangu kufahamiana nikawa nimejuana nae.
Ikawa ni kila siku asubuhi saa nne anakuja kazini kwangu jioni ananisubiri anipeleke home.Anabadili magari ndani ya wiki moja anakuwa na zaidi ya magari mawili tofauti.Tangu nimefahamiana nae amekuwa akiendesha Rav 4,Mark X,Brevis,Murrano na Benz, haya ndiyo amekua akibadili zaidi.
Huyu binti ana connection kubwa sana na wanasiasa kuanzia mkulu hadi wengineo wakubwa wote sio chama tawala.sio upinzani Kwake kupiga kwa mkulu ni kawaida.Tatizo langu kubwa nikimuhoji kinagaubaga kazi yake ni nini ananijibu anamanage projects mbalimbali kitu ambacho sijawahi kukielewa kabisa it doesnt click na ukimuhoji sana ili kujua specifics mnagombana.
Mimi kazi yangu siyo ya kipato kikubwa kihivyooo.Lakini binti anaamua tu kwenda sehemu ambazo ni za gharama kwangu bila kunitaarifu alafu nikifika ananiambia ni settle bill.Kwa mfano one day akawa ananisubiri mjini kumuuliza uko wapi.
Akaniambia niko serena njoo kufika ameshaspend laki 3 mimi kwangu hio ni kubwa sana hasa kama sikupanga then ananipa mimi ni settle hajanitaarifu before kwamba tunaenda pale.
Kubadili nywele mara mbili kwa wiki nikimwambia hiyo siwezi sina pesa ugomvi naambiwa mimi bahili.Katika movement zote of course ni mimi nimekuwa nikizigharamikia.Akija kwangu kuna nguo zake ameachahataki kuzivaa tena kila akija anataka nimnunulie nguo nyingine ya kuvaa kesho yake.Kwa hio kwa wiki anataka mnunue nguo saba.
Kumpenda nampenda lakini naona kama ananirudisha nyuma.Nimemkalisha kumweleza aelewe hali halisi.Mgumu kunielewa,tunagombana then.Tatizo langu lingine hapa hata kama una pesa vipi mipangilio ni muhimu huyu binti wangu haelewi na hapo mnagombana.
Jamani nikosoeni nishaurini kama kuna kitu nakosea.
Update:
JF nashukuru sana,Asanteni ndugu zangu wote mliochangia katika thread hii.Hatimaye nimehitimisha hili suala.Ingawa imekuwa kwa kuumia kiasi.
Nilifanya yafuatayo;
1.Niligoma kabisa kutoa hela yoyote nikamwambia nina hali ngumu ya uchumi...nikamwomba yeye anisupport -Baada ya kusema nina hali ngumu ugomvi mkubwa ulizuka pasipo na sababu ya msingi hadi jana ambapo niliamua kusitisha ule ujinga.
2.Nilifuatilia nyendo zake bila yeye kujua...nilichotambua yule binti ni kahaba ambaye anajiuza kwa wanasiasa.Kipindi cha bunge lililopita huyu binti alikua dodoma...nimefuatilia pasipo shaka...hicho ndicho anachokifanya.
3.Magari amekua akichukua kwa mwanaume mmoja ana yard...Yeye pia ni mteja wake....Kwa hio amekua akichukua gari na kutembea nalo....anabadili...likiuzwa anachukua lingine.
4.Nyumba anayokaa ni ya dada mmoja rafiki yake ambaye yuko Arusha kikazi.
Nashukuru sana Wana JF......Kutokana na ushauri wenu nimeweza kutambua haya na kuweza kuachana na hii nightmere.