Nishaurini kwa hili jamani

ramadhani kimweri

Senior Member
Joined
Apr 22, 2016
Posts
183
Reaction score
181
mm ni kijana wa miaka 23 nipo arusha ila nimzaliwa wa tanga mjin kipindi nipo tanga nilitokea kumpenda msichana momja nikamuomba tuanzishe uhusiano akakubali na tukawa katika mahusiano mara baada ya wiki akabadikisha namba ya simu na kuniambia lain yake imepotea lakin baada ya siku mbili lain ile ikawa anatumia dada yake na nilifanya naye mapenz siku moja tu basi mm nikaamua cha kwa sababu alikuwa hataki mm na yy tufanye mapenz nikaa naye hivyo hivyo ninamhudumia kama mtoto wangu wa kumzaa kila anacho taka nikampa kwa sababu nlimpenda kwa dhati. lakin siku ya mm kusafir kutaka kuhamia arusha nikamfuata kwao nikaongea naye tukaelewana na wazazi wake kuea mm ninaenda tafuta maisha ila mm mtoto wenu mungu akipenda nitamuoa baada ya kuja arusha tukawa tuna wasiliana kama kawaida chaajabu mwezi uliopita akanipigia simu kuwa yupo dar na nisimpigie simu mpaka atakapo rud tanga nikaa kimya mbaada ya mda akanipigia nimesharud tanga nikamwambia sawa lakin nikawa sina mapenz naye tena moyo wangu umekufa kabisa mawasiliano yakapungua jana akanipia simu nataka uongee na babu sawa babu akaanza kunitukana na kukebehi kunidharau na kunitolea vitisho kama sitomuoa mjuu wake atanifanyia kitu kibaya maishan mwangu ma mm kwa sasa simpend tena nisaidien
 
Hayatuhusu. This is your private business. Umelikoroga mwenyewe. Lazima ulinywe. Tumechoka sasa.
 
[quote uid=364000 name="ramadhani kimweri" post=15980680]poa kaka[/QUOTE]<br /><br />am your sister not bro.but follow that. nisamehe dada yangu
 
Fuata hisia zako. Viti sho tu!! Tena mtegemee Mungu. Nenda kwa wasabato uchawi haukatizi ng'o
 
Mmmh.. Huyo dada na familia yake ni lijipu!...Vitisho vya nini sasa..
 
wanalazimisha nimuoee na dada yake ameolewa dar na huyu demu kumbe pia ana mshikaji wake dar
 
Pole wamekuona wewe mpumbavu ktkt hiyo familia yao na mpaka wanadiliki kukupiga mikwara.
Unaambiwa usinipigie simu nawewe unaridhika bro, huyo siyo mke wa kuoa huyo anakuona wewe ATM na hakuna mapenzi kwako tena kimbia mbali naye ,na usiruhusu mawasilano naye ikiwezekana badili namba ya cm ili upotezane naye usije mruhusu atoe maelezo na ukabadili msimamo kwa kumuonea huruma
 
Huyu mleta mada kwenye profile yake inaonekana ni FEMALE sasa hapa kaja kijana wa kiume kutaka ushauri.tuambie kwanza wewe ni ME au KE?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…