Nishaurini dhidi ya huyu mchumba wangu

Nishaurini dhidi ya huyu mchumba wangu

Muulize moja kwa moja.....usihisi au kukisia.
 
ila demu wako baunsa..kaenda jeshi! ,mi nataman kweli ila nguvu za mazoez sina kabisaaaa....
Halafu nahisi ukisema umfatilie fatilie ipo siku atakukata makofi.......shauri yako,usije sema hukuambiwa...
kabadili hadi geto bado tu unaumia, we mwache abanduliwe kwako atarudi maana kakuweka kituo chake..
 
ila demu wako baunsa..kaenda jeshi! ,mi nataman kweli ila nguvu za mazoez sina kabisaaaa....
Halafu nahisi ukisema umfatilie fatilie ipo siku atakukata makofi.......shauri yako,usije sema hukuambiwa...
kabadili hadi geto bado tu unaumia, we mwache abanduliwe kwako atarudi maana kakuweka kituo chake..
Yaani mkuu umeongea kimasihara lakini point tu ndio maana bado akimuuliza anajifanya anampenda kumbe hataki kupoteza kituo chake
 
mkuu unacho simulia kimenikuta tena juzii tu hapa nilipo bado nauguza yote haya unayo sema hivo hivo yamenikuta but nilicho fanya nikuamuacha aende zake nakumbuka mama yanguu aliwahi kuniambia mapenzi ya kweli yanatoka kwenye nafsi iliokua huruu

achana nae huyoo lakini baada ya muda ataona umuhimu wako kua bizze na mambo yakoo pia kua karibu na mungu wako huyoo atakuja na Magoti na kilio juu akitaka msamaha

mimi niliwaambia ndugu zangu ukweli sikujali chochote ukizidi kukaa kiya ipo siku atakuletea mwanaume mwenzio ndani mwache aende zakee

kama sio yeye utapata mrembo zaidi yake mwache akaone anacho kimbiliaa
 
ini

niambie kuna nin

MankaM jeshini ni noma aisee hasa nyie watoto wa kike mh uroho wa wakuu wa kambi na trainers hauchagui akiona tu mate yanamdondoka na ukikataa aisee utaona kiama chako cha mateso ya mazoezi adhabu zilizopitiliza mwisho utavua chu.pi tu mjeda ale vyo.mbo. usisahau trainees wenzako ku kutolea macho!
 
Anakutega hakuna cha kukosea sms.Kwanza inawezekana hata huyo mwanaume hana anapima mapenzi yako kwake.Na kukaa kimya kutokumjibu umefanya la maana sana kwa kuwa unampa wakati mgumu wa kukuelewa uanachowaza.Kifupi we tulia tu na onyesha hakuna jipya tena kuwa bize na mambo yako kama vile hujui kama yupo. Kama anaigiza utamuona atakavyohangaika kuweka mambo sawa.Pia anza kumfuatilia mambo yake kwa siri bila yeye kujua hasa hiyo simu ili ujiridhishe tu .Naamini hana jipya zaidi ya kutafuta attention yako tu.
 
asa kama wewe umekataa mkeo asiende jeshi na hujanambia sababu je

Wanajeshi ma.la.ya sana. Nina evidence za kutosha.

Maswala ya mke wangu kuambiwa akalinde amani darfur nani anataka?
 
Miaka 2 ya uchumba? Expect anything ... umedilei sana kaka, ndoa ni kama ajali, usipojilipua na kufumba macho huwezi oa! Hakuna binadamu asiye na kasoro, kabla hujaanza kutafuta mabaya mengi kutoka kwake, jiangalie pia wewe! Umesha officiate (Umeshampa timeline lini unamuoa) uchumba wenu au ndo ile kimya kimya? ....
 
Peaneni space,hapi ndo utagundua kama yupo kwenye mahusiano.mengine au anakuhitaji
 
Back
Top Bottom