Nishaurini dhidi ya huyu mchumba wangu

Nishaurini dhidi ya huyu mchumba wangu

pengine anataka attention yako tu...

humu utashauriwa sana uachane nae...ila kama unampenda wala usifanye hivyo

she wants u to get serious...kama uko tayari marry her...pengine anaona siku hizi upo upo tu..anajaribu kukushtua shtua aone reaction yako....
 
Achana nae hyo ila b4 that cjependekeze akupe mtaji wa kutosha then piga chini fasta maana mabnt town wako kibaoo afu wazur tu
 
pole mkuu,jaribu kukaa nae sehemu yenye nafasi mueleze yote ya moyoni ambayo hupendi ayafanye akitoa mjibu ya nyodo mean hakuelewi achana nae tena kwa upendo tu alafu ndani ya cku mbili unavuta kifaa kipya,Hiyo ndo hurejesha hadhi ya kiume
 
Yote hayo haujashtuka tu mkuu kwa jinsi ulivyo jieleza ni wazi kabisa shemeji anajamaa na kashakolezwa sasa anatafuta sababu...na hapo sasa ndio ile stage ya mgogoro kidogo mtoto anakimbilia neno tuachane..ukimchunguza utamkamata.. nje ya hapo..utakuja kupata message nyingine anamsifia jamaa kwa kumfikisha kunako..,
 
Fata ushaurinwa The boss utajua tu the scene behind.
Usijifanye eti unampenda sana kwahiyo waona ngumu kutemana.
Utapata shida zaidi mkiwa kwenye ndoa kama hutomjua sasa.
 
Doctor huyo anakupenda sana ila anajua amekukorofisha sasa anarusha hizo msg ili ukasirike haraka ili uropoke ili ajue msimamo wako ili nae achukue hatua.Cha msingi ebu mpime kwa kumpiga chini.
 
Usipomjibu hiyo msg utazidi kumchanganya zaidi...nadhani anapenda attention ndo maana anakutumia hizo msgs....lakini pia anza kufikiria "exit strategy".

kumuonyesha he don care amrudishie hiyo text bila kuuliza chochote, atafil guilty na kuanza kutoa maelezo mwenyewe
 
Habari zenu jamani?

Mara nyingi nimekuwa nikija hapa pengine kujifurahisha au kumuombea mtu ushauri au kuisaidia jamii hii kwa ushauri. Lakini sikujua itafika siku nami seriously nakuja hapa kuomba ushauri.

Leo imenipasa kwakuwa nimetafuta jibu nikakosa sasa naona niombe ushauri! Kifupi nina shemeji/wifi yenu ambaye ni mchumba wangu yapata miaka miwili hivi nampenda sana tena sana.

Lakini kadri siku zinavyokwenda nakuwa simuelewi maana makubaliano yetu yalikuwa atafute kazi ambayo hawezi kwenda zamu ya usiku wala kusafiri na kuwa mbali na familia kwa muda mrefu kama mwezi na kuendelea kwa kua mama ni mlezi wa familia (baba, watoto, bibi, babu, mjomba, shangazi n.k) hivyo ni vyema usiku kuwepo nyumbani nakujua maendeleo ya familia.

Sasa kaamua kuingia jeshini kwa kujaza nafasi hiyo na ni kazi ambayo tulikubaliana asiende kutokana na sababu hizo hapo juu, kajaza akijua siko tiari kwa hilo.

Lakini pia amekuwa akijidai kakosea namba ya simu nakutuma sms ya majibu ya kutongozwa kwangu, namaanisha katongozwa zake huko ila anajidai kakosea namba ila karusha kwangu na kwa kuwa sihitaji league naamua kuchuna kama sikuona.

Hii anafanya mara kwa mara akijidai pengine kuonekana anakataa au anatoa jibu linalohitaji mwendelezo, leo kaja na mpya katuma sms kamkubali jamaa, najiuliza nimpigie nimuulize au niendelee kuchuna ama nitemane naye.

Jamii nayoishi nayo wakiwemo ndugu zangu wanamfahamu na wanawasiliana naye naona hata aibu kuachana naye naonekanaje sasa katika jamii yangu.

Pale geto amepamodify sana tu na katumia gharama zake na hata nguo zake na vitu vya thamani vya kwake viko geto kwangu kitu kinachonishangaza kwa nini asiniambie kama hataki uhusiano wetu uendelee kuliko njia anayotumia.

Nikimpigia simu anarespondi vizuri na kujidai anaupendo juu yangu.

Wakuu hapa nitoke vipi?
love after "real love"
 
Na wewe mtumie sms ukijifanya uko in love na msichana mwingine..tena weka na jina kabisaa then jifanye umekosea kutuma ikaenda kwake "tit for tat"
 
Kama upo whatsApp tafuta picha ya demu mkaree weka profile pic afu tulia tulii.....kama hajakutafuta muyamalize......subiri manyoya!!
 
Ameshaujua udhaifu wako wa kimaamuzi ndo maana anakuburuza,hivyo badala ya kukaa unaumiza kichwa kuhusu yeye nakushauri ujitathmini upya tena kwa kina,kisha chukua hatua!
 
Morning pals!..nilifanya maongez flan na kijana mmj alyemalza fom6 last yr juu ya maisha walyokutana nao jeshn...alnambia galz weng hufanywa sex treasures ili kupunguziwa shuruba za adhab pia kupata mda wakupumzka...alnambia weng waligongwa.
 
Back
Top Bottom