Heri ya mwaka mpya 2017,
Wana JF, wakati wa kukata bima ya gari umefika ila niko njia panda kuhusu kampuni ya bima ambayo haitanipa wakati mgumu kama ikitokea nimepata matatizo. Nilikuwa mteja wa jubilee ila sijavutiwa na huduma zao.
Ninaomba wenye uzoefu na kampuni zingine wanisaidie mawazo.
ni bima comprehensive.
Asanteni
kbb
Wana JF, wakati wa kukata bima ya gari umefika ila niko njia panda kuhusu kampuni ya bima ambayo haitanipa wakati mgumu kama ikitokea nimepata matatizo. Nilikuwa mteja wa jubilee ila sijavutiwa na huduma zao.
Ninaomba wenye uzoefu na kampuni zingine wanisaidie mawazo.
ni bima comprehensive.
Asanteni
kbb