Sio QT ni PC ,QT ni mwanafunzi anayerudia masomo ya kidato cha pili,anapaswa kujisajili kama PC na asajili masomo mawili KEMIA NA FIZIKIA tu kupunguza mzigo kama BIOLOGY alifaulu aachane nayo atajiongezea mzigo,akifaulu ataunganisha namba zake kuomba chuo .