Nishauri jambo kuhusu QT

90sgeneration

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
437
Reaction score
534
Wakuu habari zenu.

Kuna binti alimaliza kidato cha nne 2022. Lakini alisoma Art subjects, sasa anatamani kusomea afya awe nurse. Sasa anauliza kama anaweza kusoma QT masomo ya science ili apate credit za masomo ya physics na chemistry na bios, japo biology alipata B kwenye matokeo yake ya fm4. Anaweza soma QT abadilishe combination?

Msaada ajue afanyeje. Shukrani.
 
Sio QT ni PC ,QT ni mwanafunzi anayerudia masomo ya kidato cha pili,anapaswa kujisajili kama PC na asajili masomo mawili KEMIA NA FIZIKIA tu kupunguza mzigo kama BIOLOGY alifaulu aachane nayo atajiongezea mzigo,akifaulu ataunganisha namba zake kuomba chuo .
 
ooh asante sana mkuu, ubarikiwe🙏 , basi wacha afanye hivo mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…