Nisapotini wakuu wangu

Shukrani mkuu nafanyia kazi
 
Hivi Kuna watu bado wanavaa culture!!..


Kila la kheri.
bado kiduchu niropoke "haya yna chukua moja"

ghafla bin vuu nakuja kutana na hii comment yako..

imebidi niuchune tuliiiiii......

bwana mkubwa Quinton Canosa sapoti yangu unayo

Daily ntakuweka mbele za Allah akufanyie wepesi shekhee
 
bado kiduchu niropoke "haya yna chukua moja"

ghafla bin vuu nakuja kutana na hii comment yako..

imebidi niuchune tuliiiiii......

bwana mkubwa Quinton Canosa sapoti yangu unayo

Daily ntakuweka mbele za Allah akufanyie wepesi shekhee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi nataka maombi tu..
 
Pambana arifu hiyo ndio asili ya Mwafrika kuna viumbe hapo juu nashangaa wanasema sijui kuvaa hizo mambo ni uhuni

Hivi nini maana ya uhuni? Maajabu muambie huyo aende Brussels akanunue hata half a carat ya blood diamond kama anaweza, sana sana watavaa uchafu wa english coated Gold halafu wanajiona wameyapatia maisha

Watanzania tuna midomo sana

Dada zetu wa SA endeleeni kudumisha mila.
 
Mkuu bado no wageni kwenye sanaa ndio maana sijawashangaa
 
Mkuu bado no wageni kwenye sanaa ndio maana sijawashangaa
Mmiu Kama upo maeneno ya dar , Arusha , Moshi au zanzibar utapiga hela kwa watalii .. Jitahidi usogee hayo maeneo nimetaja .. waswahili hawapendi vitu vyao...



Kuna watu nawafaham wana familia kwa hizi kazi akiwemo mjomba wangu
 
 
Ushauri nakupa ndugu yangu.

Unapoleta tangazo kama hili baada ya kuweka bidhaa zako kwanza weka namba ya simu, pili weka bei tatu weka sample zote kama inawezekanazikiwa na bei zake.

Hii ni biashara unafanya makosa madogo yatakutoa nje ya reli.

Nimeomba unitajie bei ya jumla ni shi ngapi na jumla unauza kuanzia ngapi umekausha! Usiruhusu tangazo limuachie mteja maswali mengi!

Be creative and smart!

Haya nakuuliza tena, jumla ni shilingi ngapi na unauza kuanzia ngapi? je una bidhaa nyingine?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi nataka maombi tu..
yan ww niwendo kasi af mimi ni mkazi wa kimara ninaefanya kazi kariakoo ، nikikukosa ratiba zinavurugika zote
 
hongera mkuu kazi nzuri ila mawasiliano nayo ni muhimu
 
Sawa mkuu nimekuelewa niambie unataka kitu gani hapo nikuambie Bei yake maana Bei inatofautiana na kitu unachotaka
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…