ujue biashara ya mapera ni rahisi sana tutafanya biashara ya kupeleka mbegu za mapera ..tunakula mapera weeee kukifika huko tunawapa kinyesi chetu wanapata miche ya kutosha..so tutakuwa tunauza kinyesi
ha haaa, usimwogope bana....
haya nitaongea naye tuone kama atatusaidia na wenzie tutoke[/QUOT
kuna watu hapa tuna miili ya kingoni akili za kichagga sijui umesahau
cc Mkirua na Nicas Mtei kwa uthibitisho