Mourine Abel
Member
- Jul 16, 2012
- 6
- 0
Anaejua dawa ya tatzo hli,kukoma kwa hedhi. Dada yangu ana mwaka wa pili sasa haijui hedhi,ilikata tu yenyewe, hajazaa wala hajawah kutumia uzaz wa mpango.
Subiri wahusika waje watakusaidia. Jee huyo Dada aliwahi kwenda Hospitali kumuona Daktari?