<br />mkuu hilo ndo sababu<br />
sio kila mwanamke anajua kupendwa kukoje<br />
wengine wanataka uwe ngangari hivi,usionyeshe hisia sana<br />
usijisahau.....<br />
So cha kufanya tafuta mwingine wa haraka wa kuzugia kwanza<br />
wa kukupa kampani...huku unatafakari...itasaidia....<br />
Halafu jipange upya...<br />
Anza kujipenda mwenyewe zaidi...
<br />nina kubaliana na Boss Dena. yaani leo nimelala humu humu. utafikiri niko ughaibuni kumbe niko Njombe
Mbu. The one you love you do share both your stupid and intelligent Ideas. you do all sought of things, Constructive and non-constructive. you really know each other well. you can describe your partner more than any other person, Then you End up calling her stupid!!
babu hiyo imekula kwakooooooooooooooAm going 32 in some coming months now. I'm not married but i have a kid, it happened that am moving with a certain lady hapa mjini leo muda huu saa nne usiku nimepiga simu yake zaidi ya mara tano and the phone was just busy napiga mara ya sita nikakuta iko off nikaamua kumpigia room mate wake, room mate wake akaniambia amekuja home lakini alitoka nilivyokata simu tu naye akapiga na kunikaripia sana kwenye simu eti kwanini napigia watu simu kumtafuta na kuniita STUPID. Jamani nimeishiwa nguvu.
chukulia poa labda alikuwa na hasira na kitu kingine wewe ukajichanganya ikala kwako inauma sana ukimpigia simu mwenzio especially usiku asipopokea but that is lifeAm going 32 in some coming months now. I'm not married but i have a kid, it happened that am moving with a certain lady hapa mjini leo muda huu saa nne usiku nimepiga simu yake zaidi ya mara tano and the phone was just busy napiga mara ya sita nikakuta iko off nikaamua kumpigia room mate wake, room mate wake akaniambia amekuja home lakini alitoka nilivyokata simu tu naye akapiga na kunikaripia sana kwenye simu eti kwanini napigia watu simu kumtafuta na kuniita STUPID. Jamani nimeishiwa nguvu.
naona an hamu ya kunywa sumu huyu???????? siku ana ona kwa macho ndo atakavoliona kuwa kaburi ni rafiki wa karibu zaidiUshauri wa nini hapo wakt kesha kuacha? Unataka mpaka umkute mwenzio kabisa?
if you know her really well, utamuelewa na kumsamehe.
Can you have peace of mind in whatever you may decide?Am going 32 in some coming months now. I'm not married but i have a kid, it happened that am moving with a certain lady hapa mjini leo muda huu saa nne usiku nimepiga simu yake zaidi ya mara tano and the phone was just busy napiga mara ya sita nikakuta iko off nikaamua kumpigia room mate wake, room mate wake akaniambia amekuja home lakini alitoka nilivyokata simu tu naye akapiga na kunikaripia sana kwenye simu eti kwanini napigia watu simu kumtafuta na kuniita STUPID. Jamani nimeishiwa nguvu.
Oyaa..wee mlachake..huyo demu alikuwa anaongea na mie new boyfriend wake..wewe amestukia unamzingua maana upo 32yrs old na mtoto ulezaa na demu mwengine kisha ukamwaga hujamwoa amekusoma unamchezea soo ameamua kuwa nami nisiyemchezea na kumpotezea muda wake na hata nikimwoa hatopata usumbufu wa kuitwa mama wa kambo...sijange dogo... Kama hutaki au huamini leo mpigie simu uone atavyokumwaga... na nimemwambia ukizidi kumfuatilia atakuunganisha nami nikupe vipande live.. CHAPA LAPA DOGO MCHUMBA NDO KESHA KUMWAGA.
ndio fomula yako hiyo? vizuri kama inakusaidia upande wakoyapo mazingira
ni case ya the hunter kuwa the hunted...
kama ukijua how to change that...