Nisaidieni wakuu


Same haujuwi lini umewahi kuingia kwenye serious relationship...kama haujui kuvumilia na kumbadilisha mtu kalagha bao...utaendelea kudanga mpaka mwisho wa safari yako hapa duniani
 
Same haujuwi lini umewahi kuingia kwenye serious relationship...kama haujui kuvumilia na kumbadilisha mtu kalagha bao...utaendelea kudanga mpaka mwisho wa safari yako hapa duniani
Kama navyodanga na ww ss hivi shubaamiti

Unahisi kila mtu anapata mahaba ya manyanyaso eeh
Go buy a brain halafu uje nikueleze.
Si kila mtu anapata mtu asiejielewa na kutoa mahaba ya kichoyo
 
Kama navyodanga na ww ss hivi shubaamiti

Unahisi kila mtu anapata mahaba ya manyanyaso eeh
Go buy a brain halafu uje nikueleze.
Si kila mtu anapata mtu asiejielewa na kutoa mahaba ya kichoyo
Hahahaahhahahah...naona kitaulo kimekupapasa vizuri...povu la sabuni ya magaji limekutoka...kweli nimeamini unastress mno...pole mpaka ndo maisha lakini..
 
Jinsi ya kuachana nae



Sent from my iPhone using JamiiForums
Jipe muda na ukubaliane na matokeo. Usipende kumfanya oxygen ndo maana anakutesa maana anajua huna option zaidi yake.
Ukiendelea kumg'ang'ania ni kama unaharalisha tabia zake za ovyo. Unakomaa naye as if amekuoa, kama anakutreat hivi vipi ingekuwa ni ndoa au mna watoto.
Mi sikushauri kwamba achana nae au nenda nae. We sikiliza nafsi yako inakwambia nini, shirikisha na akili. Jibu unalo lakini unajifanya hutaki kuamini. Jibu unalo wewe mwenyewe fata hilohilo.
 
Hahahaahhahahah...naona kitaulo kimekupapasa vizuri...povu la sabuni ya magaji limekutoka...kweli nimeamini unastress mno...pole mpaka ndo maisha lakini..
Mi nabishana na boys ss ww ndo aina ya vijana mnaosumbua wadada wa watu jinga ww
 
Mi nabishana na boys ss ww ndo aina ya vijana mnaosumbua wadada wa watu jinga ww

Kama wewe unavyosumbua vijana eeehhh...wadada wakisumbuka ujue wayataka wenyewe...wewe pambana na hali yako...kama wavutiwa na mimi njoo PM tuyajenge...kuwa mpole mrembo
 
Eti umuache huyu kijana... Una sound kama big mama

au mwanamke uliemzidi sana umri huyo kijana wako

sasa huyo kijana wako nadhani usimuache maana ktk

mapenzi Kuachana haijawahi kuwa solution,kama umeshindwa

tafuta tatizo ukalitatua na solution inayokuja kichwani mwako ni "kumuacha"

nakuhakikishia wewe ni wale wale tu,hata uwe na nani bado mtaachana.

kwasasa hivi Pambana na kijana wako,hamna ushauri ninaotoaga kwa wapenzi.
 
Kama wewe unavyosumbua vijana eeehhh...wadada wakisumbuka ujue wayataka wenyewe...wewe pambana na hali yako...kama wavutiwa na mimi njoo PM tuyajenge...kuwa mpole mrembo
Kumbe unajipigia promo
 

Asante kwa ushauri


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Same haujuwi lini umewahi kuingia kwenye serious relationship...kama haujui kuvumilia na kumbadilisha mtu kalagha bao...utaendelea kudanga mpaka mwisho wa safari yako hapa duniani

Umenena Vyema. Asikwambie mtu serious relationship ni kitu kingine sikia tu kwa mtu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Kanizidi miaka 4 uwe unauliza kabla hujaandika venye kichwa inakutuma



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huyo achana nae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni Ile Jamii Forum iliyonipa ushawishi wa kujiunga au ni nyingine?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama huna sababu ya msingi kumuacha usimuache, kama hakuna sababu ya msingi kuendelea nae usiendelee nae.

Sababu ya msingi inakufanya ujiamini na uweze justify maamuzi yako, kuona red flags kwa jamaa ni suala jingine na kuachana naye.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…