Nisaidieni wadau

Nisaidieni wadau

ntende

Member
Joined
Jul 25, 2014
Posts
15
Reaction score
2
kuna mtu alinambia ktk maisha mtu usithubutu kuingia kwenye ndoa na mtu usiyempenda,hivi inakuwaje iwapo umtakaye haji ila unapata tu usiowapenda na muda waenda,je kuna tatizo wandugu?naombeni mawazo yenu
 
Kuna kumpenda mtu na kuna ku go with the flow....wengi wanaoana na watu wanao go with the flow with......na zipo ndoa zinadumu..
 
kuna mtu alinambia ktk maisha mtu usithubutu kuingia kwenye ndoa na mtu usiyempenda,hivi inakuwaje iwapo umtakaye haji ila unapata tu usiowapenda na muda waenda,je kuna tatizo wandugu?naombeni mawazo yenu


Huyu unayemtaka na wewe uko hivyo? maana Mungu humpa mtu wa kufanana na mwenzi wake.
vumilia Mungu ni mwaminifu utampata tu mimi nilisubiri miaka kabla sijampata niliyemhitaji.

Ndoa na iheshimiwe na watu wote.Waebrania 13:4
 
Usimsubirie mkuu... MPANDIE HUKO HUKO GHOROFANI.
kuna mtu alinambia ktk maisha mtu usithubutu kuingia kwenye ndoa na mtu usiyempenda,hivi inakuwaje iwapo umtakaye haji ila unapata tu usiowapenda na muda waenda,je kuna tatizo wandugu?naombeni mawazo yenu
 
Kati ya Ndoa zinazofungwa ni chache sana ambazo kuna Kupendana Mapenzi ya dhati kwa wote wawili na ni bahati sana kuipata , Ndoa nyingi Binaadamu wanaoa na kuolewa kwa sababu ya .............tofauti tofauti kama uhakika wa Maisha , Umri unaenda , Baba kasema , Kwao Mboga saba nk
 
hao usiowapenda wanakujaje???? vitu vitu vinawavuta kwako
anza kufanya vitu vitakavyowavutia mtu wa ndoto yako
 
Kama umedhamiria itabdi tu usubiri kwani kwa wenye imani mke/mme mwema huletwa na Mungu,ila kama uzalendo unakushinda chukua tu huyo usie mpenda ila ujue kuwa anything can happen huko mbeleni ingawa pia sio lazima sana kutokea mabaya.
 
mimi si mdau wa maswali ya kitoto.
 
Sasa hapo we ndo una matatizo ya kutokupenda maana wote wanaokuja wanakupenda ila wewe huwapenda upo nao tu. Sijui unayemsubiri atakuja na tofauti gani maana hutampenda tena hadi utazeeka. Jitambue na ujifunze kupenda. Hakuna utakayempenda akawa amekidhi vigezo vyako vyote. Wa namna hiyo wameshaoa au wana watu. Angalia kama una vigezo vitano halafu akawa ana sifa 3 zinazofaa basi huyo ndo anakufaa then zile 2 zifanyie kazi umsaidie abadilike akufae. Kumbuka kuwa wanaume nasi tuna vigezo kwako kama haufai tutakuacha tu hata ujitahidi vipi.
 
Kati ya Ndoa zinazofungwa ni chache sana ambazo kuna Kupendana Mapenzi ya dhati kwa wote wawili na ni bahati sana kuipata , Ndoa nyingi Binaadamu wanaoa na kuolewa kwa sababu ya .............tofauti tofauti kama uhakika wa Maisha , Umri unaenda , Baba kasema , Kwao Mboga saba nk
Mungu atusaidie kwakweli maana hatari
 
Back
Top Bottom