dhk1
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 915
- 532
habari zenu wadau,
Nina mwanangu umri mwaka 1miezi8 ambapo ameanzisha mfumo mpya wa chakula. Anaamka saa kumi na moja na nilazama ale ukimpa vya watoto hataki kabisa anataka kipora hadi saiv imekuwa routine yake.
Je ni sahii mtoto km huyu kula kiporo au itamdhuru kiafya?
natanguliza shukrani kwa wadau
Nina mwanangu umri mwaka 1miezi8 ambapo ameanzisha mfumo mpya wa chakula. Anaamka saa kumi na moja na nilazama ale ukimpa vya watoto hataki kabisa anataka kipora hadi saiv imekuwa routine yake.
Je ni sahii mtoto km huyu kula kiporo au itamdhuru kiafya?
natanguliza shukrani kwa wadau