Nisaidieni mawazo

Usiache kazi kwasababu ya mapenzi..Love as no guenteee.Hayo mengine ni maamuzi yako kwasababu hatujui hisia zenu kati yenu zikoje.Tunaweza tukashauri weee ila mwishoni ukajipeleka mwenyewe.Mapenzi hayana kanuni wala ushauri mana Moyo wa mtu kichaka watu wanarudiana sana siku hizi ata kama waliumizana vip.
 
Kosa lako hujagegedwa vyakugosha na wanaume wengine.
Ebu kwanza gegedwa vyakutosha huyo bby daddy utamuo a kama nyani aliyechangamka changamka tuu.
 
Usijaribu kuacha kazi kwasababu ya Malaya.
 
nikirudiananae lazima niache kazi ungekua wewe ungefanyaje
Huwa naamini, mara nyingi mtu anayekuja kuomba ushauri mara nyingi hasa mtandaoni, lengo kuu ni kutafuta faraja.

Coz maamuzi ya mtu binafsi hasa kuhusu hatma yake huwa amefanya na amekuwa tayari amefanya! Mfano wewe tayari umeamua kurudiana na baba watoto ila umekuja kutafuta maoni kuhusu uamuzi wako!
 
Unainekana unampenda Sana.

Tafuta kwanza maisha mtaona tu hata badae.
 
Kwangu alishapeleka mahali ndo hakupeleka uyo mwingine aloishi nae miaka minne ndo hakumtambulisha Kwa ndugu na hakutoa barua Wala mahali ndo uyo mdada kapata hasira kaondoka kwasababu anaona anakaa tu hatambulishwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…