nipo naye kwenye uhusiono yapata mienzi sita.kiukwel nampenda tena sana na nina malengo nae mazur tu ya kuwa mume na mke.tatizo ambalo linanikera ni wivu wake.kwa siku hunipigia simu zaidi ya mara kumi nikimwambia niko bize na kazi anasema simjali b'coz ninae mwingine kiukweli siyapati mapenzi yake kwan haipiti siku bila kutofautiana nae.yaan nafikiri hata kuachana nae ila moyo ndo una ni suta kwan nampenda.NISAIDIENI NIFANYE NINI ILI NIENDANE NAE