kila kitu inatakiwa kwa kiasi. ikipitiliza lazima iwe tatizo.Mkipendwa mwalalamika,msipopigiwa mnaanza oooh hanijali hata cm mpka mm nimpigie...... acha alinde chake bwana, ana upendo wa kweli.
Wewe unafikiri ufanyeje?
Pokea Simu, mwambie nakupenda ila niko busy.
Tengeneza template SMS uwe unazituma every other hour!