kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,318
- 4,114
Umri wangu ni miaka 25 ambayo nimetimiza mwezi uliopita. Nmepitia katika mahusiano na watu kadhaa yakiwepo serious na yale ya one night stand. Sijafikia muda muafaka wa kuoa lakini kwa kiasi fulani katika huu muda nimekuwa nikitafakari juu ya mke wa aina gani nitakuwa naye.
Haya ni baadhi ya mambo niliyoyaona kwa mabinti na wanawake kadhaa ambayo yananifnya nione zoezi la kuchagua mke ni zaidi ya kutegua kitendawili cha kumvua kufuli Malia Obama.
1. Mabinti ambao hawana elimu wanashindwa kufanya mambo kwa mantiki na hata kauli zao huonyesha wazi kuwa hapo mbeleni tutashindwa kuelewana kwa mambo ambayo kama mtu mwenye elimu hamtapata shida.mfano kuna binti mmoja yeye alikuwa analazimisha umuamini tu wakati matendo yake yanatia shaka ili hali imani hujengeka baana ya kuona matendo.
2. Wenye elimu wengi wanadhani elimu yao ni silaha katika kila kitu hivyo wengi wao huota jeuri na kiburi kwa kuwa wanajuona wao ni marketable na wana mtandao mkubwa wa kupata wanaume hasa waliokutana nao vyuo.
3. Kundi la wapenda pesa ndilo pasua kichwa. Huyu mpenda pesa hata kama ukimpa bilioni moja kila siku ila ikitokea mtu akapanda bilion 2 kwa siku atakuona huna maana.
4. Kigezo cha kabila nacho ni mtihani. Siamini kuwa wanawake wa kabila fulani lazima tabia zifanane ila impact ya kabila katika tabia ni kubwa japo kwa asilimia zote. Nikiwaangalia Wazaramo, Wapogoro, Wajita, Wahaya, Warangi, Wanyamwezi na makabila mengine kuna tabia zinaniogopesha.
5. Wale wa kanisani wengi wao wamewekeza vingi kanisani na hivyo treatment kwa mwanaume ni poor.
Jamani hivi mke bora aweje aweje maana hiki ni kitendawili kigumu sana kuliko vyote katika maisha. Na mbaya zaidi nafasi ya kuoa ni moja tu maishani bora tungekuwa tunabadilisha kila baada ya miaka 5 ingekuwa afadhali.
Haya ni baadhi ya mambo niliyoyaona kwa mabinti na wanawake kadhaa ambayo yananifnya nione zoezi la kuchagua mke ni zaidi ya kutegua kitendawili cha kumvua kufuli Malia Obama.
1. Mabinti ambao hawana elimu wanashindwa kufanya mambo kwa mantiki na hata kauli zao huonyesha wazi kuwa hapo mbeleni tutashindwa kuelewana kwa mambo ambayo kama mtu mwenye elimu hamtapata shida.mfano kuna binti mmoja yeye alikuwa analazimisha umuamini tu wakati matendo yake yanatia shaka ili hali imani hujengeka baana ya kuona matendo.
2. Wenye elimu wengi wanadhani elimu yao ni silaha katika kila kitu hivyo wengi wao huota jeuri na kiburi kwa kuwa wanajuona wao ni marketable na wana mtandao mkubwa wa kupata wanaume hasa waliokutana nao vyuo.
3. Kundi la wapenda pesa ndilo pasua kichwa. Huyu mpenda pesa hata kama ukimpa bilioni moja kila siku ila ikitokea mtu akapanda bilion 2 kwa siku atakuona huna maana.
4. Kigezo cha kabila nacho ni mtihani. Siamini kuwa wanawake wa kabila fulani lazima tabia zifanane ila impact ya kabila katika tabia ni kubwa japo kwa asilimia zote. Nikiwaangalia Wazaramo, Wapogoro, Wajita, Wahaya, Warangi, Wanyamwezi na makabila mengine kuna tabia zinaniogopesha.
5. Wale wa kanisani wengi wao wamewekeza vingi kanisani na hivyo treatment kwa mwanaume ni poor.
Jamani hivi mke bora aweje aweje maana hiki ni kitendawili kigumu sana kuliko vyote katika maisha. Na mbaya zaidi nafasi ya kuoa ni moja tu maishani bora tungekuwa tunabadilisha kila baada ya miaka 5 ingekuwa afadhali.
