Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,550
- Thread starter
- #21
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo bikra akiamua kuitoa anaweza kuwa kama mwenzake, lakini asie nayo hawezi tena kuwa bikra. 😂😂UPDATES: Wadau kumbe bhana hawa rafiki zangu kilichowagombanisha ni suala LA ubikira. Ila wadada!
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂 mkuu taratibu utaanguka uko speed sanaKwahiyo bikra akiamua kuitoa anaweza kuwa kama mwenzake, lakini asie nayo hawezi tena kuwa bikra. 😂😂
Mkuu hebu nipe namba za mgonjwa nami nimpelekee matunda. Huweji jua naweza kupata zali la kuoa bikra maana naona JF siku hizi kila siku ni nyuzi za bikra tu na tunaaswa vijana tuoe bikra hawa wengine tuachane nao. Usininyime fursa mkuu wangu.
Mkuu tangu niambiwe kuwa ni bikra, nimeanza mchakato wa kumtambulisha nyumbani. Pole mkuuKwahiyo bikra akiamua kuitoa anaweza kuwa kama mwenzake, lakini asie nayo hawezi tena kuwa bikra. [emoji23][emoji23]
Mkuu hebu nipe namba za mgonjwa nami nimpelekee matunda. Huweji jua naweza kupata zali la kuoa bikra maana naona JF siku hizi kila siku ni nyuzi za bikra tu na tunaaswa vijana tuoe bikra hawa wengine tuachane nao. Usininyime fursa mkuu wangu.
Ni katika kuchangamkia fursa tu mkuu 😂😂😂😂 mkuu taratibu utaanguka uko speed sana
Lakini mkuu si best yako huyo wa tokea utotoni ni kama ndugu yako tu. 😄😁Mkuu tangu niambiwe kuwa ni bikra, nimeanza mchakato wa kumtambulisha nyumbani. Pole mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app