So hiyo summon kaletewa nani?
Kuna jirani yetu hapa, wameletewa summons za mahakamani lakini jina la aliye shitakiwa kashafariki.
Je unaweza kuweka pingamizi la kisheria???? Kama ndiyo utatumia mamlaka gani ili kushinda pingamizi hilo.
Naombeni ushauri wenu jf