Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
OK guys huu wimbo nakumbuka tu lyrics zake nataka kudownload
sio stori za machiz wakikaa
bling kwamba siku hizi nakosa furaha
am sorry kama nilijikwaa
mana hata tenda tz anajua we mshumaa maa
bling bling unaniacha kwenye giza
kama chizi kila kona nakatiza
honey please hata amba ungemweleza
and so on................ help me guys
OK guys huu wimbo nakumbuka tu lyrics zake nataka kudownload
sio stori za machiz wakikaa
bling kwamba siku hizi nakosa furaha
am sorry kama nilijikwaa
mana hata tenda tz anajua we mshumaa maa
bling bling unaniacha kwenye giza
kama chizi kila kona nakatiza
honey please hata amba ungemweleza
and so on................ help me guys
Chizi ananga machizi wenzake ingependeza.OK guys huu wimbo nakumbuka tu lyrics zake nataka kudownload
sio stori za machiz wakikaa
bling kwamba siku hizi nakosa furaha
am sorry kama nilijikwaa
mana hata tenda tz anajua we mshumaa maa
bling bling unaniacha kwenye giza
kama chizi kila kona nakatiza
honey please hata amba ungemweleza
and so on................ help me guys
OK guys huu wimbo nakumbuka tu lyrics zake nataka kudownload
sio stori za machiz wakikaa
bling kwamba siku hizi nakosa furaha
am sorry kama nilijikwaa
mana hata tenda tz anajua we mshumaa maa
bling bling unaniacha kwenye giza
kama chizi kila kona nakatiza
honey please hata amba ungemweleza
and so on................ help me guys
Hiyo track ya yaki inaitwa tonight. Kama cjakosea chorus yake kuna kisaut kinasema night i dont feel alright, unavokaa kimya,basi tuma sms...
Mie mwenzenu natafuta kuna nyimbo moja ya zamani, ila siujui jina. akapera yake ni; "Chakduu chakduu, chachacha chakduu" ipo kwenye miondoko ya Hot funk. kwa anayejua walau jina la wimbo naomba anitajie. natanguliza shukrani kwa msaada wenu. Huu wimbo ulinipa ushindi nilipokuwa njuka kwenye wellcome form one mwaka 1990.
hiyo nyimbo inaitwa JACK GROOVE, ila sikumbuki wapigaji wake. Hii nyimbo marehemu Dj Kalikali alikuwa anapenda sana kurap ndani ya YMCA miaka ya 85-90.