Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
OK guys huu wimbo nakumbuka tu lyrics zake nataka kudownload
sio stori za machiz wakikaa
bling kwamba siku hizi nakosa furaha
am sorry kama nilijikwaa
mana hata tenda tz anajua we mshumaa maa
bling bling unaniacha kwenye giza
kama chizi kila kona nakatiza
honey please hata amba ungemweleza
and so on................ help me guys
sio stori za machiz wakikaa
bling kwamba siku hizi nakosa furaha
am sorry kama nilijikwaa
mana hata tenda tz anajua we mshumaa maa
bling bling unaniacha kwenye giza
kama chizi kila kona nakatiza
honey please hata amba ungemweleza
and so on................ help me guys