Nisaidieni jamani

Mie mwenyewe nashangaa, eti bado anataka ushauri, umeshaongea hadi na mke wake, umeshajua mbivu na mbichi bado unataka ushauri, upi huo bidada

Pole sana, ushauri gani unaotaka hapa baada ya kudanganywa kiasi hiki!? Mwambie afungashe virago vyake haraka sana toka kwako. Asikutafute kwa namna yoyote ile.
 
Reactions: BAK
hahahahah mimi nimeamua kaka yangu
 
asante nimeshaamua. asante kwa ushauri
 

asante nimeelewa
 
Pole kwa kutoa uroda kwa mwaka mzima bila kumjua vyema unayempa...
 

embu achana na uyo mbaba kwnz ushasema ana waschn waschn thn unamtetea ni mpole??uyo ni boko haramu wa mapenzi shost embu achana nae ....km unaona aibu kusema hyo story kwenu ukiulizwa sema amefarik na ajali ya moto uko kwao Kenya
 
sio kusema asante na kuelewa fanya maamuzi sahihi kwa muda huu kuliko uchelewe ndio uuanze kutoa lawama maisha yako yako mikononi mwako mpenzi. wanaume wapo tu sio kila huusiano ulio nao utapata degree mahusiano mengine ni tusheni tu ili ufuzu kuingia kupata degree wangu. na usikae kuaangalia watu watasema nini kuhusu wewe, sio wote wanaokupigia makofi wanakusifia weng wao wanakuhurumia
 
pachambili sikuelewi isee umeamua nini sasa kuwa mlezi wa familia ya huyo mtu au wanawake wengine full kudhalilishana tu
 
embu achana na uyo mbaba kwnz ushasema ana waschn waschn thn unamtetea ni mpole??uyo ni boko haramu wa mapenzi shost embu achana nae ....km unaona aibu kusema hyo story kwenu ukiulizwa sema amefarik na ajali ya moto uko kwao Kenya

hahahahaha asante sana kwa kunichekesha niko wenye foleni ya kumuona doctor nimejikuta nacheka kila mtu kanishangaa
 
haaaaaaaaaaa hilo neno wangu hongera sana fanya yako mwanamke full kujiamini hawa wapo tu
 
Inatia huruma Kweli lkn mapenzi Haya asikwambie mtu. Kwanza shukuru Mungu amekuonyesha Hilo, ilikuwa ni wakati wake wewe kufumbuka macho.

Ushauri: achana na huyo mwanamme na mazoea na huyo mkewe Acha kabisa. Kwa kuwa wazi zaidi elezea wazazi wako ili wasikuone kicheche, maana kama huyo mwanaume kama anapajua kwenu anaweza ata Kwenda kwa ajili ya kujitakasa na kuonekana yeye msafi.

Kama inawezekana badili njia ya mawasiliano kabisa. Kuwa busy na kazi zako. Naamini aliye sahihi kwa wakati sahihi atafika. Usifanywe mtumwa wa mapenzi sasa, usichukulie udhaifu wa kupenda ukateseka.

Nakutakia Kila la kheri.
 
Yani wewe mdada hebu fanya yako huyo hautomuweza maana ana mambo mengi na si mkweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…