Nina mke ambae tumebahatika kuzaaa mtoto mmoja tangu 2014 lakini kwa bahati mbaya aliweka vijiti kama njia ya uzazi wa mpango lakini nimekuwa nikimshaghuli kuhusiana na kupata mtoto mwingine hataki kunisikia na ugomvi hutokea. sasa nahitaji msaada wa kuyaondoa hayo madawa mwilini bila ya yeye kujua