Nisaidieni jamani simu yangu

Nisaidieni jamani simu yangu

CK Allan

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2013
Posts
2,784
Reaction score
6,179
Ukinipigia unaambiwa niko bize hata kama namba ni ngeni hunipati ila baadae nikiaangalia kwenye calls naona kuna mtu kapiga.. natumia adroid bml onemin
 
Umejaribu kurestart? Kama bado fanya hivyo kwanza halafu uone itakuwaje.
 
Mkuu nimetoa hadi line .. nimeangalia black list iko empty
 
Ukinipigia unaambiwa niko bize hata kama namba ni ngeni hunipati ila baadae nikiaangalia kwenye calls naona kuna mtu kapiga.. natumia adroid bml onemin

Wakati mwngne line kama line huwa zinachoka, kama line ni ya muda mrefu sana, kajaribu kurenew chip yako
 
Ukinipigia unaambiwa niko bize hata kama namba ni ngeni hunipati ila baadae nikiaangalia kwenye calls naona kuna mtu kapiga.. natumia adroid bml onemin

Jaribu kiweka line kwenye simu nyingine ili kijua tatizo ni sim au line ukiona tatizo linaendelea jaribu kuchek call baring kwenye setting ya simu yako
 
Nimeweka line kwenye simu nyingine inafanya kazi freshi... niliamua kufanya factory rst tu
 
Back
Top Bottom