ni mwaka wa 6 sasa mimi na mke wangu hatujamtafuta mtoto mwingine na hatujatumia njia yoyote ile ya uzazi wa mpango.
sasa tumbo linamuuma sana tu kama wiki sasa (hii ni baada ya kuanza harakati za kutafuta mtoto mwingine) inakuwaje tumbo kuuma?
ni mwaka wa 6 sasa mimi na mke wangu hatujamtafuta mtoto mwingine na hatujatumia njia yoyote ile ya uzazi wa mpango.
sasa tumbo linamuuma sana tu kama wiki sasa (hii ni baada ya kuanza harakati za kutafuta mtoto mwingine) inakuwaje tumbo kuuma?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.