Ni afadhali angekuwa na wazazi. Wote walishafariki na nilishiriki kikamilifu kumsaidia kwa wakati huo. Wacha ndugu zake ambao nimewasaidi kwenye matatizo makubwa hayasemeki. Nasomesha hata watoto wa ndugu zake, mmoja amemaliza form 4 na mwingine yupo class 4 english medium. Mimi ndo baba yake ndo mama yake.
Yaani sina hata la kusema.