Nisaidieni hili

Magoa

Member
Joined
Mar 20, 2013
Posts
28
Reaction score
5
Habari zenu wandugu bila shaka mnaendelea vema basi leo ni jambo moja lina nisumbua kichwa hivi nini siri ya usingizi ?
 

Attachments

  • MAGOA.jpg
    33.4 KB · Views: 88
Siri ya usingizi ni nusu kufa
 
Ni kulala a.k.a kumbonji , kugona, kuutungua, kuufinya , lepe .
 
Biblia inasema, Mungu humpa mpenzi wake usingizi....
Hiyo ndiyo asili ya usingizi!!

BTW: Kwa nini umeamua kuweka taswira mnato yako, unatafuta mchumba au?

Magoa
 
Biblia inasema, Mungu humpa mpenzi wake usingizi....
Hiyo ndiyo asili ya usingizi!!

BTW: Kwa nini umeamua kuweka taswira mnato yako, unatafuta mchumba au?

Magoa

Nimeamua kuweka hiyo face tu hapo ni msisitizo wa hicho nilichouliza hapo
 
Biblia inasema, Mungu humpa mpenzi wake usingizi....
Hiyo ndiyo asili ya usingizi!!

BTW: Kwa nini umeamua kuweka taswira mnato yako, unatafuta mchumba au?

Magoa


Hatudanganyiki.......
 
Hiyo face ni yako? Naona nimekuzimia.

Wewe demu niaje? Mbona leo umecharuka hivi? Umekesha humu aisey!
Huo muda uliokomenti kwenye huu uzi unaonaje?
Au uko na mastress mingi? Au P anakubania yale mambo yetu? Sema tukusaidie.
 
hapa lazima ucheke kwanza
ndo uwaze majibu.
 
Wachache wenye uwelewa kwani mlio wengi dunia imewashika kila wakati na saa za karibu yenu mnawaza upuuzi tu imeweka hapo mpate kumtambua mleta mada sio kwa jina tu bali kwa sura pia sasa nyie mwajadili picha badala ya mada husika
 
Kwani hujaona jibu langu pale juu...

Btw: Hivi unajua kitendo tu cha kuianika hiyo fesibuku yako umesababisha watoto wote kulikimbia jukwaa....usiniulize kwa nini, ni kwamba fesibuku kama hiyo hutumika kutishia watoto wasiopenda kulala..

Wachache wenye uwelewa kwani mlio wengi dunia imewashika kila wakati na saa za karibu yenu mnawaza upuuzi tu imeweka hapo mpate kumtambua mleta mada sio kwa jina tu bali kwa sura pia sasa nyie mwajadili picha badala ya mada husika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…