Wewe demu niaje? Mbona leo umecharuka hivi? Umekesha humu aisey!
Huo muda uliokomenti kwenye huu uzi unaonaje?
Au uko na mastress mingi? Au P anakubania yale mambo yetu? Sema tukusaidie.
Wachache wenye uwelewa kwani mlio wengi dunia imewashika kila wakati na saa za karibu yenu mnawaza upuuzi tu imeweka hapo mpate kumtambua mleta mada sio kwa jina tu bali kwa sura pia sasa nyie mwajadili picha badala ya mada husika
Btw: Hivi unajua kitendo tu cha kuianika hiyo fesibuku yako umesababisha watoto wote kulikimbia jukwaa....usiniulize kwa nini, ni kwamba fesibuku kama hiyo hutumika kutishia watoto wasiopenda kulala..
Wachache wenye uwelewa kwani mlio wengi dunia imewashika kila wakati na saa za karibu yenu mnawaza upuuzi tu imeweka hapo mpate kumtambua mleta mada sio kwa jina tu bali kwa sura pia sasa nyie mwajadili picha badala ya mada husika