the great wizard
JF-Expert Member
- Dec 21, 2015
- 1,482
- 894
Mtoa mada keyboard inafanya kazi wakari BIOS zinaload I mean ukibonyeza F12 wakati bios zinaload inakubali?
Haikubali kakaMtoa mada keyboard inafanya kazi wakari BIOS zinaload I mean ukibonyeza F12 wakati bios zinaload inakubali?
Kuna online (built in) keyboard anaweza tumia kufanya hayo yoteRight click atafanyaje wakati ,mouse na keyboard hazifanyi kazi? Ajaribu kupiga chini window
Sent using Jamii Forums mobile app
Anhaa sawa kwahiyo nipe njia ya kusolve hili mkuu kulingana na ulivyolielewa tatizo
Naam hiyo inafanya kazi nadhani hii ni best way Shukran ntalifanyia kazi hilo niinunueNajiaminisha computer yako ina ps/2 port ambayo unaweza chomeka keyboard je nayenyewe haifanyi kazi??kama zipo na zinafanya kazi still hauna haja ya kubadilisha motherboard kwa matatizo hayo pekee...unaweza nunua Ps/2 to Usb converter shilingi elfu tano tu ukatumiaa usb mouse kama kawaida kupitia ps/2 port
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshakupa njia mkuu,hapo unachotakiwa kufanya ni kujaribu kutroubleshoot tatizo hasa ni hardware au ni software....kwa kuanzia unaweza check device manager then check usb driver kama zipo installed au kwa suluhisho jepesi na la haraka ili kujua kama ni hardware issue au software Install freshy copy ya Os.Anhaa sawa kwahiyo nipe njia ya kusolve hili mkuu kulingana na ulivyolielewa tatizo
basi jaribu kutafuta ile pci cardHaikubali kaka
Maana nimejaribu kutazama port ya ps2 km siioni hivi au ndo ipi hapabasi jaribu kutafuta ile pci card
m
Maana nimejaribu kutazama port ya ps2 km siioni hivi au ndo ipi hapa
yani mkuu ukanunue pci card ya usb uje uipachike kwa ndani hapo yenyewe itakuta na usb port zinazojitegemeam
Maana nimejaribu kutazama port ya ps2 km siioni hivi au ndo ipi hapa
yani mkuu ukanunue pci card ya usb uje uipachike kwa ndani hapo yenyewe itakuta na usb port zinazojitegemea
Ufafanuzi zaidi naomba plzUnlock kupitia egisregistry
Yani wote huku daaah nenda bios setup ka enable USB ports thanks me laterUfafanuzi zaidi naomba plz
Ways za kuunlock hiyo eg.....stry
Inaitwa registry editorUnlock kupitia registry
Ndio unafanyaje kumbuka siwez kutumia keyboard wala mouseInaitwa registry editor
Ufafanuzi zaidi naomba plz
Ways za kuunlock hiyo eg.....stry
Msaada kwa kina tafadhali mimi sio mjuz sana sasa ukiniambia Bios setup ushaniachaYani wote huku daaah nenda bios setup ka enable USB ports thanks me later
Sent using Jamii Forums mobile app