Wadau heshima zenu,
Mwenzenu naishi kwenye nyumba za kota za watumishi wa uma some where hapaa Dar es salaam tukiwa ndo tumehamia tu miaka miwili iliopita tulikaribishwa na jirani mmoja matata yeye na mwanamke wake huyu jirani mwanaume nilisoma nae hivyo tukafurahiana sana huyu mwanamke alikua akija kulala pale mara chache alikua ni mwanachuo ila ndio mke mtarajiwa.
Mume wangu alikua masomoni hivyo hawakumfahamu, tulizoeana sana kiasi cha kuitana anti, siku zinavyoenda nikagundua stori za uyo mke za kimalaya sana, nilijikaza kwa uvumilivu nisiharibu ujirani wetu baada ya muda mume wangu alirudi hivyo tukaanza mipango ya kutafuta kiwanja atlist tuanze kujenga.
Nilifanya hilo kwa usiri mkubwa ila cha kushangaza alijua vitu vyetu vingi hata tulivyoongea kwa siri nilimhisi mumewangu labda vile anavyoongea na mwanaume mwenzie labda anamshirikisha basi nilimuonya mume wangu ila akashangaa akiniambia labda mimi ndio nimesema.
Baada ya tukio hilo jirani me& ke walianza kupunguza ukaribu kwetu, sikujiskia vibaya ila tulijiuliza sana.baada ya muda wakanunua gari ndo kabisaaa full kutupotezea pia hatukuuliza ila kushangaza jirani hasalimii anawezakusafiri familia ikapatashida tukawasaidia ila akirudi hatambui hata hashukuru kageuza wajibu wetu kumsaidia mkewe na ndugu waliopo.
Juzi wamevamiwa sijui mume kawazulumu nini wakaja tulisaidia sana hadi kupeleka hospitali walioumia ila tulipojaribu kuulizia wanavyoendelea hawakutujibu kwenda hospitali tunaambiwa hawapo. Kweli nimefundwa kuishi na watu ila hili nafikiri tuachane nao au ntakua nakosea?
Nisaidieni mawazo tafadhali kama hunawazo la kujenga tafadhari kaa kimya
Mwenzenu naishi kwenye nyumba za kota za watumishi wa uma some where hapaa Dar es salaam tukiwa ndo tumehamia tu miaka miwili iliopita tulikaribishwa na jirani mmoja matata yeye na mwanamke wake huyu jirani mwanaume nilisoma nae hivyo tukafurahiana sana huyu mwanamke alikua akija kulala pale mara chache alikua ni mwanachuo ila ndio mke mtarajiwa.
Mume wangu alikua masomoni hivyo hawakumfahamu, tulizoeana sana kiasi cha kuitana anti, siku zinavyoenda nikagundua stori za uyo mke za kimalaya sana, nilijikaza kwa uvumilivu nisiharibu ujirani wetu baada ya muda mume wangu alirudi hivyo tukaanza mipango ya kutafuta kiwanja atlist tuanze kujenga.
Nilifanya hilo kwa usiri mkubwa ila cha kushangaza alijua vitu vyetu vingi hata tulivyoongea kwa siri nilimhisi mumewangu labda vile anavyoongea na mwanaume mwenzie labda anamshirikisha basi nilimuonya mume wangu ila akashangaa akiniambia labda mimi ndio nimesema.
Baada ya tukio hilo jirani me& ke walianza kupunguza ukaribu kwetu, sikujiskia vibaya ila tulijiuliza sana.baada ya muda wakanunua gari ndo kabisaaa full kutupotezea pia hatukuuliza ila kushangaza jirani hasalimii anawezakusafiri familia ikapatashida tukawasaidia ila akirudi hatambui hata hashukuru kageuza wajibu wetu kumsaidia mkewe na ndugu waliopo.
Juzi wamevamiwa sijui mume kawazulumu nini wakaja tulisaidia sana hadi kupeleka hospitali walioumia ila tulipojaribu kuulizia wanavyoendelea hawakutujibu kwenda hospitali tunaambiwa hawapo. Kweli nimefundwa kuishi na watu ila hili nafikiri tuachane nao au ntakua nakosea?
Nisaidieni mawazo tafadhali kama hunawazo la kujenga tafadhari kaa kimya