Nisaidien

Nisaidien

Raycom mvungi

Member
Joined
Mar 22, 2013
Posts
79
Reaction score
9
Wadau habari najakwenu mnisaidie nimeamua kuachana na mchumba wng kwa sababu zisizo zuilika tatizo nilikuwa nampenda sana nifanyeje ili ni msahau niwena aman sina marafiki wakuongea nao sinywi pombe sivuti sigara sina weekend mie asubuhi job jion nyumban tafadhali msaada
 
Weka sababu tukusaidie.
Unaficha ficha nini.
Au ulitaka kumtafuna kabaang!! Akakataa!
 
Wadau habari najakwenu mnisaidie nimeamua kuachana na mchumba wng kwa sababu zisizo zuilika tatizo nilikuwa nampenda sana nifanyeje ili ni msahau niwena aman sina marafiki wakuongea nao sinywi pombe sivuti sigara sina weekend mie asubuhi job jion nyumban tafadhali msaada
Grow up guy!, what a shit!
 
Weka sababu tukusaidie. Unaficha ficha nini. Au ulitaka kumtafuna kabaang!! Akakataa!
Naomba uende pm kwake then akusimulie halafu uje umsaidie kupost. . . .anaonekana anahitaji msaada wa ushauri, lakn hajui jinsi aidha ya kutafuta ama kupata!
 
Sasa mkuu bila kujua sababu japo kidogo ufumbuzi hauwezi kupatikana, hata ukienda hospital unasema japo kidogo unaumwa nn.
 
Inaumiza sana kama umedanganywa uwemuwazi huwezi kuharibika sura au kupoteza kitu chochote UNASUBILI MPAKA TUSEME MFICHA UCHI HAZAI.
 
Naomba uende pm kwake then akusimulie halafu uje umsaidie kupost. . . .anaonekana anahitaji msaada wa ushauri, lakn hajui jinsi aidha ya kutafuta ama kupata!

Ngoja niende, afu nitakuja kujimwaga hadharani.
 
mkuu life is not a rock that u must break it to move foward life is like a river u must flow with it gently.

mkuu usiwe king'ang'anizi unatakiwa ubadilike kutokana na mazingira okey. usimpe mtu maisha yako kama yeye ndo anauwezo wa kukupa kila kitu. so tafuta namna ya kuishi sawa.

thanks God i love ma life its so greatfull loh !
 
Wew mwanaume utakosaje marafiki hata hao unaofanya nao kazi, Ahya! twambie tatizo nin kwanza ndio msaada ufuate
 
Nitakuombea kesho kanisani....alikuwa mchumba au geli frendi!???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom