Raelish
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 489
- 162
Habarini hapa.
Namshukuru Mungu naendelea kupumua japo maisha yangu ni kama hayaendi hivi. Kifupi mimi nimekulia katika mazingira magumu sana na nimepata elimu yangu kwa tabu nyingi sana, lakin namshukuru Mungu nimefanikiwa kupata japo elimu hii ndogo. Elimu yangu ni kidato cha sita tu na nilisoma masomo ya sayansi yaani CBG (chemistry,biology & geography) nina uwezo mkubwa na nina kipaji cha kufundisha pia ni rahisi sana kuelewa nikielekezwa chochote cha kufanya.
Waungwana mimi ndo nategemewa na familia yangu lakini nikijiangalia nilivyo ni kama nimekabidhiwa jezi mchezo sijaujua. Maisha yangu ni magumu mimi ni mmoja kati ya wale vijana tunaukula mlo mmoja kwa siku na hatujui kesho yetu. Natamani nianze biashara sina mtaji najianamia nafuta machozi lakini siachi kumshukuru Mungu.
Leo nikapata wazo niwaombe waungwana kama kuna mtu ana kazi yoyote ambayo anaweza kunipa nikafanya ili nipate ridhiki naomba kusaidiwa. kama umeguswa kunichangia chochote nipate mtaji karibu.
Napatikana hapa 0782168784 au 0763223724.
Namshukuru Mungu naendelea kupumua japo maisha yangu ni kama hayaendi hivi. Kifupi mimi nimekulia katika mazingira magumu sana na nimepata elimu yangu kwa tabu nyingi sana, lakin namshukuru Mungu nimefanikiwa kupata japo elimu hii ndogo. Elimu yangu ni kidato cha sita tu na nilisoma masomo ya sayansi yaani CBG (chemistry,biology & geography) nina uwezo mkubwa na nina kipaji cha kufundisha pia ni rahisi sana kuelewa nikielekezwa chochote cha kufanya.
Waungwana mimi ndo nategemewa na familia yangu lakini nikijiangalia nilivyo ni kama nimekabidhiwa jezi mchezo sijaujua. Maisha yangu ni magumu mimi ni mmoja kati ya wale vijana tunaukula mlo mmoja kwa siku na hatujui kesho yetu. Natamani nianze biashara sina mtaji najianamia nafuta machozi lakini siachi kumshukuru Mungu.
Leo nikapata wazo niwaombe waungwana kama kuna mtu ana kazi yoyote ambayo anaweza kunipa nikafanya ili nipate ridhiki naomba kusaidiwa. kama umeguswa kunichangia chochote nipate mtaji karibu.
Napatikana hapa 0782168784 au 0763223724.